Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ally Salum ni pazia tu. Anaishi Simba kwa mgongo wa wenzake tu.Dakika ya 88 Simba inafanya mabadiliko eneo la golikipa, anatoka Ally anaingia Ahmedy Peruzi
Pamoja na usimba wangu kwa hili siwezi kukubishia.Nimemuangalia outtara vizuri sana ni beki mmoja wakawaida sana kwa huyu beki huu usajili tumepigwa.
Ukweli utabaki kuwa ukweli
"One Mugalu is equal to ten Mzungu"
Pamoja na usimba wangu kwa hili siwezi kukubishia.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Jifunze kuappreciate wafanyacho wenzako ndugu. Si kulaumu kila kitu. Unataka wasifungwe kabisa? Sasa huo utakuwa ni mpira?
Simba Queens ni kwa nani na kwenu ni wapi?Mbona Simba queens Wana washambuliaji hatari ... Ila kwetu huku washambuliaji hatuna.
Hivi unawezaje kumuweka benchi Onyango na kuanza na Outtara
HatupoiMechi ni saa 2 usiku muda huu kwa saa za huko bongo
Line up ya simba
View attachment 2337703
Lineup ya Asante Kotoko
View attachment 2337704
Aaamen[emoji7]Tuko Live....
Mungu Ibariki SSC.....
This is SIMBA[emoji881][emoji881][emoji881]
Unstoppable!!!