residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kwa wanaojua mpira, hivi ile ni penati kweli!!???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumetokea nini?Penati ya wazi sana hii
Okey Simba wawe makini hizo nne zisirudiMchezaji wa Kotoko aliangushwa kwenye penati box
Jifunze kuappreciate wafanyacho wenzako ndugu. Si kulaumu kila kitu. Unataka wasifungwe kabisa? Sasa huo utakuwa ni mpira?Ukuta wa Inonga na Qouttara ndio Ukuta mbovu kuwahi kutokea Simba. Magoli Mengi tunafungwa kwa sababu Yao.
Hili Goli ni Poor Marking Ya Qouttarra
Shangaaa mkuuu siku tusipofungwa huoni hizi mamboJifunze kuappreciate wafanyacho wenzako ndugu. Si kulaumu kila kitu. Unataka wasifungwe kabisa? Sasa huo utakuwa ni mpira?
Anatak sifa za kipuuzi anaboa asemwe huyoBanda ana katabia ka uchoyo sana...!
Kafanyajeee hahaaaaaMmemuona Mwanuke?
Onyango mtamkubukaUkuta wa Inonga na Qouttara ndio Ukuta mbovu kuwahi kutokea Simba. Magoli Mengi tunafungwa kwa sababu Yao.
Hili Goli ni Poor Marking Ya Qouttarra
Finishing yao mbovu wangekua na goli 3 au 4Asante kotoko wanafanya shambulizi la hatari lakini shuti linaenda nje ya lango na kuwa goal kick