Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmeanzaUkuta wa Inonga na Qouttara ndio Ukuta mbovu kuwahi kutokea Simba. Magoli Mengi tunafungwa kwa sababu Yao.
Hili Goli ni Poor Marking Ya Qouttarra
Chama anatoka Dejan anaingia
Moses Phiri anatoka Gymson anaingia
👍👍☝️
Azam sports 1 HD
...Wanyonge Sana au ?...😂😂😂Hawa Kokoto watapigwa 8
Simba Nguvumoja.tumuite dejan .Naam Mzungu kaingia
Oatara shida yake ni moja tu mzito sana huyu mtu,ila maeneo mengine kafit sana.ila kwa mimi binafsi mara elfu nimpe nafasi Ochieng kuliko Oatara.Hivi unawezaje kumuweka benchi Onyango na kuanza na Outtara
Azam Sports.
Au ndo mambo yetu ya moshiiii moshii au leo haujawashwa ma uto wapate cha kusema?Asante kotoko wanapiga pasi nyingi sana ila ndio hivyo wakifika golini hawalioni