Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Chamaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo masihara..gemu ya kawaida sana..tumewakamata hawaSimba wanacheza masihara sana
unaangalia mpira? au umekuja kukenua tu humuHawa asante na ihefu wanatofauti gani....?
Hii timu benchi la ufundi linakazi sana wachezaji wengi hawako serious kabisa na ndomana tukicheza na Yanga wanatufunga wanajua uchezaji wetu uliojaa mizaha mingi.Simba wanacheza masihara sana
Tulia we mamaunaangalia mpira? au umekuja kukenua tu humu
Mmoja Ni asante mwngine ni ihefuuHawa asante na ihefu wanatofauti gani....?
Hawa asante na ihefu wanatofauti gani....?
Utopolo walianzisha propoganda za kusema Zoran hamtakiAkpan ni Fundi
Juzi juzi tu hapa nimeku-push samadii...au umesahahu we koloooHawana tofauti na Uto
Utopolo walianzisha propoganda za kusema Zoran hamtaki