Qouttara anachezea nyota ya Inonga, Bora hata Babu Onyango, Qouttara Kama tumepigwa vile!Ukuta wa Inonga na Qouttara ndio Ukuta mbovu kuwahi kutokea Simba. Magoli Mengi tunafungwa kwa sababu Yao.
Hili Goli ni Poor Marking Ya Qouttarra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qouttara anachezea nyota ya Inonga, Bora hata Babu Onyango, Qouttara Kama tumepigwa vile!Ukuta wa Inonga na Qouttara ndio Ukuta mbovu kuwahi kutokea Simba. Magoli Mengi tunafungwa kwa sababu Yao.
Hili Goli ni Poor Marking Ya Qouttarra
Ni beki mzuli ila apunguze uzito tuQouttara anachezea nyota ya Inonga, Bora hata Babu Onyango, Qouttara Kama tumepigwa vile!
Halafu ni mzito ilibidii apewe zoezi maalumu la kupunguza uzitoUkuta wa Inonga na Qouttara ndio Ukuta mbovu kuwahi kutokea Simba. Magoli Mengi tunafungwa kwa sababu Yao.
Hili Goli ni Poor Marking Ya Qouttarra
Mkuu mechi ya kirafikiHawa asante na ihefu wanatofauti gani....?
Hii timu benchi la ufundi linakazi sana wachezaji wengi hawako serious kabisa na ndomana tukicheza na Yanga wanatufunga wanajua uchezaji wetu uliojaa mizaha mingi.
Hatuko compact kabisa timu inafikiwa golini kiwepesi sana ni vile tu jamaa hawako clinical kwenye goli
Hivi unawezaje kumuweka benchi Onyango na kuanza na OuttaraNi beki mzuli ila apunguze uzito tu
Oyaaa 🤣🤣🤣🙌Mazingira ya goli ni yale yale ya sensa
Mlete Mzunguuu×3Mzunguuuu anapasha huko