FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Aisee, unamchukuliaje Asec? Naona umeichukulia kiwepesi mno mecbi ya Asec wakati ndo mechi ngumu kati ya mechi zote za Mnyama kwenye kundi lake.
Gem inayofata Jwaneng anakufa nyingi na Mnyama anapita kwa wastani wa magoli

Game si tumetazama wote mzee...

Ilikuwa open kabisa kwa Simba kushinda, isipokuwa timu imeahindwa kutengeneza nafasi na hata zilizopatikana chache wachezaji wamezipoteza...
 
Wawakilishi wa Tanzania, Simba watakuwa dimbani wakisaka ushindi

Ijumaa, Saa 4:00 usiku, Mnyama Simba SC atakuwa ugenini kuwavaa Asec Mimosas

Dondosha maoni na utabiri wako kuhusu mchezo huu

View attachment 2913767
Kikosi cha Simba SC kinachoanza leo
View attachment 2913778
Kikosi cha Asec Mimosas kinachoanza leo

Mchezo umeanza

Dakika ya 10 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 20 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 25 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 30 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 40 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 45 Asec 0-0 Simba
HT: Asec 0-0 Simba
Kipindi cha pili kimeanza Asec 0-0 Simba

Dakika ya 50 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 60 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 75 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 80 Asec 0-0 Simba

Dakika ya 85 Asec0-0 Simba

Dakika ya 90 Asec0-0 Simba

Dakika 3 zimeongezwa

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba​

Hii draw inawauma sana YANGA utadhani wao ndio wamecheza mechi. Sujawahi kuona mashabiki wa kishangingi kama mashabiki wa Yanga.
 
Hao wasio na shule wameipeleka mara kadhaa robo fainali champions league na this time wanaipeleka tena. Hao wenu wenye makalio makubwa tuone kama watawavusha kwenda robo.
Wale walibebwa na watu waliopita kwa kifupi Simba haina uongozi CEO anafikiri mafanikio ni kuongeza idadi ya mashabiki kwenye WhatsApp badala ya kusajili wachezaji wenye ushindani
 
Kila la kheri watani, nyie peperusheni bendera kwanza wakati sisi tunajiandaa kwa bleach za Pacome Day.
sio za pacome ni bleach za zuwena yule malayer wa dayamond, cha wote
 
"Lazima tutamfunga Asec kwao."

Baada ya game, naona wamekuja tena wanasema

" Lazima tutamfunga Galaxy game ya mwisho"

Mashabiki wa Simba raha sana, wanapenda kulitumia hili neno " LAZIMA".

Yaani wanajiona wao ni MUNGU
ona huyu zuwena cha wote, huo mwiko ulionyuma unakuharibu
 
Jifunze kusoma post kabla hujakulupuka kuchangia.
Tunaongelea usajili wewe unaongelea matokeo.
Huoni tofauti?

Kwahiyo kama Simba haijawahi kuifunga Asec miaka 4, 5 au 7 iliyopita ikiwa na kikosi kikali haiwezi kuifunga?
Hayo ndiyo madhara ya kuanza kushabikia mpira ukubwani.
Usajili ndo huleta matokeo
 
Back
Top Bottom