Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Mechi ya kesho ikiisha draw simba atahitaji draw mechi ya kwa Mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee..na midomo kapaka rangi
Sheria imebadilishwa,timu zenye points sawa kwenye makundi zinapolingana wataangalia hizo timu mbili head to head walipokutana nani alimfunga magoli mengi mwenzake.Naomba maelezo hapa, head to head itahusika kivipi,usinichoke kwa maswala please
Simba mbovu lakini inaweza kucheza robo fainaliHii mechi kama Simba ingecheza kwa presha kidogo na Benchikha angekuwa makini kwenye sub, Simba ingetoboa ila hii Simba ni mbovu Sana.
Yule Try Again sina imani naye, yule sidhani kama ana upeo. Yeye na Mangungu nawaona waswahili swahili tu. Simba ni taasisi kubwa, haiwezi kuendeshwa na watu wasio na shule na vipawaNimeamini kuna watu wanapiga asilimia.
Sio robo tuu,kwani msimu huu timu nyingi Zipo ovyoSimba mbovu lakini inaweza kucheza robo fainali
Ndo maana nimesema match za mwsho ndo zitaamua nani anaenda, na nani anafurushwaa.Msimamo ulivyokaa kwa sasa, hata Wydad anaweza akafuzu...
Simba leo angeshinda, ndio ingekuwa Wydad katolewa...
View attachment 2914184
Mpira hauwezi kuupangia matokeo ndo maana wakasema mpira unadunda, inawezekana Wydad akadraw kesho,Wydad anaweza akashinda mechi zote 2
Galaxy akapoteza 1, na kudraw 1
Simba akadraw 1
Yaani game ya leo Simba alipaswa ashinde ili kumtoa Wydad out of the equation...
Wakipata sare Waydad na Jwaneng, Simba tutahitaji droo tu kufikisha point 7, Wydad akimfunga Asec anakuwa na 7. Head to Head Simba tupo sawaWydad apate sare na Jwaneng then nimtwange Jwaneng mbili kwa mkapa!!! Robo hii hapa
Aisee, unamchukuliaje Asec? Naona umeichukulia kiwepesi mno mecbi ya Asec wakati ndo mechi ngumu kati ya mechi zote za Mnyama kwenye kundi lake.Wydad anaweza akashinda mechi zote 2
Galaxy akapoteza 1, na kudraw 1
Simba akadraw 1
Yaani game ya leo Simba alipaswa ashinde ili kumtoa Wydad out of the equation...
Mechi ya kesho ikiisha draw simba atahitaji draw mechi ya kwa Mkapa
Utapolo katika ubora wake! Hii ni michuano ya Kimataifa mzee siyo mdondo zenu za NBCPL mnazohonga marefa na viongozi wa team. Kesho ndo mtajua kwanini Mnyama anaheshimika huko Duniani, Safari yenu inaishia kwa Mkapa.Yaani waliosajiliwa nimechekaa,Simba uhuni tupu.Streka hata shot on target 0
Mkuu sasa hapo huelewi nini?wdad na galaxy wakitoka draw galaxy point 5, na Wydad point 4Bila ta draw. Simba anahitaji ushindi kwa lazima game ya kwa mkapa.
Maana galaxy ana 4 points na simba ana 6 points
Wydad hata akishinda.Kwani kwenye Champions League wanaangalia head to head.Simba ni lazima ashinde game yake ya mwisho ndio ataingia robo fainali.Wydad apate sare na Jwaneng then nimtwange Jwaneng mbili kwa mkapa!!! Robo hii hapa
Timu mbili zikilingana points kati yao wataangalia head to head walipokutana,aliyemfunga mwenzake magoli mengi anapita,wydad katufunga kwao goli 1 tumemfunga kwa Mkapa goli 2 ,tunaendelea mbeleWydad hata akishinda.Kwani kwenye Champions League wanaangalia head to head.Simba ni lazima ashinde game yake ya mwisho ndio ataingia robo fainali.
Nililala ndugu yangu. Vipi alituokota hapo au alisema kweli?😂🤣🤣😂😂😁😁 Cc Nifah na Evelyn Salt
Ukiwa Utopox huwezi kuielewa soka maisha yako yote. Kuvuna point moja mbele ya Asec ugenini ni faida kubwa mno kwa Mnyama na hiyo inatosha kuonesha ukubwa na ubora wa mnyama kwenye michuano ya kimataifa.Yaani waliosajiliwa nimechekaa,Simba uhuni tupu.Streka hata shot on target 0