Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaSio matokeo mazuri wala sio matokeo mabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaSio matokeo mazuri wala sio matokeo mabaya
Mwenye nafasi hapo ni Galaxy sio WydadMsimamo ulivyokaa kwa sasa, hata Wydad anaweza akafuzu...
Simba leo angeshinda, ndio ingekuwa Wydad katolewa...
View attachment 2914184
Naunga mkono hojaMsimamo ulivyokaa kwa sasa, hata Wydad anaweza akafuzu...
Simba leo angeshinda, ndio ingekuwa Wydad katolewa...
View attachment 2914184
Hayo ndo malalamiko ya kijinga hatuyataki,we si unaamini timu yako,komaa na kundi lakoYanga ndiyo wangepangwa hili kundi, wangekuwa wanaongoza na wameishapita.
unaongozwa na hisia au umesikia wengine wanasema ukakariri? Simba ipi bora iliwahi mfunga Asec kwake?Simba inaongozwa na wanasiasa.
Hata wakienda mpirani hawajui kinachoendelea pale uwanjani.
Na hao ndiyo wanao amua nani asajiliwe na nani aachwe.
Shida ni kubwa sana, yaani makelele yote yale kabla ya dirisha dogo halafu unasajili vitu vya kawaida kabisa.Kuna shida tena kubwa sana kwenye scouting, nadhani pale Simba hakuna watu wa mpira.
Mkubwa hivyo hujui hata maana ya kunusa?Kumbe mechi za makundi zimeisha?
Poleni sana kaka 😂🤣😂Shida ni kubwa sana, yaani makelele yote yale kabla ya dirisha dogo halafu unasajili vitu vya kawaida kabisa.
Huyu anayetufata kwa mzee Nkapa tunampiga kaka.Mechi nzuri ya kushinda ilikuwa ni leo. Kwa kuwa mpinzani alikuwa hana cha kupoteza.
Draw ni nzuri ila mechi ya mwisho lazima kushindaIkishindikana ushindi, Draw kwa Simba si nzuri?
Labda akishinda Galaxy ila kama ni Wydad hata ashinde magoli matano hayawezi kumfanya awe wa pili.
Nimeamini kuna watu wanapiga asilimia.Shida ni kubwa sana, yaani makelele yote yale kabla ya dirisha dogo halafu unasajili vitu vya kawaida kabisa.
Mechi ya mwisho ni lazima Simba ishinde ndio wafuzuWydad anaweza akashinda mechi zote 2
Galaxy akapoteza 1, na kudraw 1
Simba akadraw 1
Yaani game ya leo Simba alipaswa ashinde ili kumtoa Wydad out of the equation...
Atapita mwenye magoli mengi head to head kati ya Simba na Wydad,so simba atapitaMshindi ataamuliwa kwa magoli
Mechi ya mwisho ni lazima Simba ishinde ndio wafuzu
Wanachama wa Simba wanatukosea Sana kutuletea viongozi wanasiasaSimba inaongozwa na wanasiasa.
Hata wakienda mpirani hawajui kinachoendelea pale uwanjani.
Na hao ndiyo wanao amua nani asajiliwe na nani aachwe.