Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huwa sipendi mtu ana seme "tyuu". inakera mno.Kikubwa match ya jwaneng ni kushinda tyuuh.
Km hapa itaisha hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa sipendi mtu ana seme "tyuu". inakera mno.Kikubwa match ya jwaneng ni kushinda tyuuh.
Km hapa itaisha hivi.
Kumpoteza Hans Popp ni pigo kubwa kwa usajili wa SimbaScout ya simba imetukosea sana
🤣😂😁Huyu Fred kamleta baba yake ili wasimtimue
Bado kibarua kigumu, maan atazidiwa point 1 na jwaneng, na hapo watakutana Kwa mkapa.Simba kashajitia dole...
Game ya Galaxy na Wydad inatoa mshindi wa pili...
Waliobaki hata wachezaji hawawajui kazi kujisifiaKumpoteza Hans Popp ni pigo kubwa kwa usajili wa Simba
Vipi kama na wydad akashinda zote awe na Tisa nan ataenda?Bora hata tutoe draw, afu jwaneng hapa kwa mkapa tuwapige, then tusepee robooo.
Tusifungwe tafadhari.
Mnyama mkali ataendaVipi kama na wydad akashinda zote awe na Tisa nan ataenda?
Nasema tena "tyuuu"huwa sipendi mtu ana seme "tyuu". inakera mno.
Vipi kama na wydad akashinda zote awe na Tisa nan ataenda?
Haiwezekani hiyoooVipi kama na wydad akashinda zote awe na Tisa nan ataenda?
Labda akishinda Galaxy ila kama ni Wydad hata ashinde magoli matano hayawezi kumfanya awe wa pili.Simba kashajitia dole...
Game ya Galaxy na Wydad inatoa mshindi wa pili...
Kwanini wakati watakuwa na point sawa?Mnyama mkali ataenda
Head to head kati ya Simba vs WydadKwanini wakati watakuwa na point sawa?