FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Aisee, unamchukuliaje Asec? Naona umeichukulia kiwepesi mno mecbi ya Asec wakati ndo mechi ngumu kati ya mechi zote za Mnyama kwenye kundi lake.
Gem inayofata Jwaneng anakufa nyingi na Mnyama anapita kwa wastani wa magoli

Game si tumetazama wote mzee...

Ilikuwa open kabisa kwa Simba kushinda, isipokuwa timu imeahindwa kutengeneza nafasi na hata zilizopatikana chache wachezaji wamezipoteza...
 
Hii draw inawauma sana YANGA utadhani wao ndio wamecheza mechi. Sujawahi kuona mashabiki wa kishangingi kama mashabiki wa Yanga.
 
Hao wasio na shule wameipeleka mara kadhaa robo fainali champions league na this time wanaipeleka tena. Hao wenu wenye makalio makubwa tuone kama watawavusha kwenda robo.
Wale walibebwa na watu waliopita kwa kifupi Simba haina uongozi CEO anafikiri mafanikio ni kuongeza idadi ya mashabiki kwenye WhatsApp badala ya kusajili wachezaji wenye ushindani
 
Kila la kheri watani, nyie peperusheni bendera kwanza wakati sisi tunajiandaa kwa bleach za Pacome Day.
sio za pacome ni bleach za zuwena yule malayer wa dayamond, cha wote
 
"Lazima tutamfunga Asec kwao."

Baada ya game, naona wamekuja tena wanasema

" Lazima tutamfunga Galaxy game ya mwisho"

Mashabiki wa Simba raha sana, wanapenda kulitumia hili neno " LAZIMA".

Yaani wanajiona wao ni MUNGU
ona huyu zuwena cha wote, huo mwiko ulionyuma unakuharibu
 
Usajili ndo huleta matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…