Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Second half inaweza kuwa tofauti, hawa Asec kipindi cha kwanza huwa na spidi sana lakini cha pili hupunguza spidi, waliwakimbiza USGN wakawapiga 2-0 first half, second half wakachoka jamaa wakapata goli moja ikaisha 2-1.Umekubali leo hamna unachoambulia, mkuu?
Dah!...haya matokeo huenda yakaamua hatma ya SimbaUS Gendamarie 1-1 Berkane
Hivi unavyoongea unajisikia?Magoli yanarudi shida Manura hawapangi mabeki na yeye hakai kwenye position
Sijawahi kumkubali tunashinda kwa nguvu za Mungu tu.Huyu kocha choko kweli hata kuongea akienda ugenini anaenda na kauli za uoga huyu kocha sifuri
Bwalya hayuko mchezoni
Bora yeye ana uwezo wa kubahatisha kuliko yule aliyefungwa 9 kule unguja bila kubahatisha hata mojaAnakuwa mbahatishaji tu
Tatizo Manula huwa mkimya na mpole sana, hasemi kwa ukali na mabeki wakeMagoli yanarudi shida Manura hawapangi mabeki na yeye hakai kwenye position
Next season hatutakiwi kucheka na hawa wazee, wafukuzwe wote.Hichi kikosi ukikiangalia hata huoni goal linafungwa na nani. Labda Sakho tu.