Hahaaaa team nyingine ni ugonjwa wa moyo
Magoli yote 2 yamepitia upande wa Muhammed Hussein
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa team nyingine ni ugonjwa wa moyo
Lini mnarudiana na Somalia?Makolo wanacheza utafikiri wako period
Kounate kang'ang'ania penati kupiga kakosa. Ustaa mbaya sana
Kama kawa man.Kaka niaje!? Hatujasalimiana
Labda njaaSimba Tunashinda leo
Ongezea mkudeNext season hatutakiwi kucheka na hawa wazee, wafukuzwe wote.
Wawa, Kagere, Mzamiru, Nyoni, Mugalu, Bocco , Kibu ni takataka ambazo hazistahili kabisa kuwepo tena Simba Sc.
Tulia sheikh hizi kuku goli 5 zinawahusuAmezingua sana. Sisi wengine tulikuwa tumejiandaa kwa 5 - 0! Sasa amesababisha mchezo uendelee, na wakati ulikuwa umeshakwisha tayari.
Watu washakata mkia[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Taifa linapata aibu kubwa huko Benin..
Mnyama anachezewa makalio.
Alisikika Mbumbumbu mmoja kutoka MO ArenaHii mechi hatufungwi
Note my words
Hata Mimi naamini hivyoHii mechi hatufungwi
Note my words
Kocha ambaye alikuwa anaenda na kubadilika hasiti kufanya Sub ni yule aliyesepa kabla ya huyu Pablo kuja yule jamaa hanaga masihara kwenye SubSecond half simuoni wa kuleta hope zaidi ya Morrison, timu haijacheza kbs first half huyu Pablo sijui kama ni kocha kweli hovyo kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata Mimi naamini hivyo
Hata kesho tunatua Mogadishu hatuna siku maalumuLini mnarudiana na Somalia?