FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Screenshot_20220320-194937.png

Baada ya kipigo
 
Kounate kang'ang'ania penati kupiga kakosa. Ustaa mbaya sana

Amezingua sana. Sisi wengine tulikuwa tumejiandaa kwa 5 - 0! Sasa amesababisha mchezo uendelee, na wakati ulikuwa umeshakwisha tayari.
 
Second half simuoni wa kuleta hope zaidi ya Morrison, timu haijacheza kbs first half huyu Pablo sijui kama ni kocha kweli hovyo kabisa
Kocha ambaye alikuwa anaenda na kubadilika hasiti kufanya Sub ni yule aliyesepa kabla ya huyu Pablo kuja yule jamaa hanaga masihara kwenye Sub
 
Back
Top Bottom