Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani kuongeza wengine...Next season hatutakiwi kucheka na hawa wazee, wafukuzwe wote.
Wawa, Kagere, Mzamiru, Nyoni, Mugalu, Bocco , Kibu ni takataka ambazo hazistahili kabisa kuwepo tena Simba Sc.
Berkane hatoki hiyo mechi.US Gendamarie 1-1 Berkane
Hili kundi ni balaa...!!
Jamaa hata hawachezi kiwango cha kuridhisha kurlthibitisha wameizidi simbaLabda kipindi cha pili huenda wakabilika tusubiri tuwaone.
Ila Simba hata kama watafuzu lazima wabadilike kwa kweli na wawe makini na kazi.
Mimosas wanacheza kwa malengo hata moves zao kwenda kushambulia ni kwa malengo sasa SSC sijawaelewa had sasa hv
Sifuri kbsaSijawahi kumkubali tunashinda kwa nguvu za Mungu tu.
Sakho huwez muona kama timu haimiliki mpiraHivi Sakho yupo??
Hahaaaa team nyingine ni ugonjwa wa moyo