Ma time traveller hatupingiNisikie
Asec 1-2 Simba
Ndio chenyewe pimbi kileHiki kidada cha ZBC si ndio kilisema lile goli la sakho ni offside?
Kwani mzee huwajui wachambuzi wa bongo sahivi wamejikausha kama sio wao vileHiki kidada cha ZBC si ndio kilisema lile goli la sakho ni offside?
Kimekosa athics za kazi na hakifit kwenye uchambuzi bora akatangaze R za roho na diva huku hakumfaiNdio chenyewe pimbi kile
Afu ilikuwa kama bahati mbaya kwao, maana hawalutegemea kama linaweza kuwa goli bora. Baada ya hapo hawakuthubutu kabisa kuanzisha hiyo story.Kwani mzee huwajui wachambuzi wa bongo sahivi wamejikausha kama sio wao vile
[emoji23][emoji23][emoji23] kin alikamwe na priva wachambuzi wa GoogleAfu ilikuwa kama bahati mbaya kwao, maana hawalutegemea kama linaweza kuwa goli bora. Baada ya hapo hawakuthubutu kabisa kuanzisha hiyo story.
Hawa azam wanatuthibitishia kuwa sio lazima mtu aujue mpira ili aweze kuajiliwa kwenye department ya sportsKwani mzee huwajui wachambuzi wa bongo sahivi wamejikausha kama sio wao vile