gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Alafu akishatoka ukadake wewe?Nasema mara ya Mwisho mtoeni Manura hamsikii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu akishatoka ukadake wewe?Nasema mara ya Mwisho mtoeni Manura hamsikii
Yeah umekalia vitatu vya nguvu..Hizi sub ni nzuri sana, hata ikitokea tumefungwa siwezi laumu
Kweli hamfungwiHii mechi hatufungwi
Note my words
Boko huyu huyu anaezidiwa magoli na Engineer Hersi Said?Nadhani pia huyu kochaa anakosa phylosophy ya game za kiafrica
Unamuachaje Banda , Morison na Bocco nje
Kocha Out
Mpaka sasa yupo hoi kwa vitatu vya nguvu kutoka kwa wahuniTulikubaliana anadaka popote duniani
Nasema mara ya Mwisho mtoeni Manura hamsikii
Nakusalimu mkuuKounate overrated hamna kitu
Ni muda wenu huu wa kutamba,kuimba kupokezanaBoko huyu huyu anaezidiwa magoli na Engineer Hersi Said?View attachment 2158423
Yaani nyie Mashabiki wa Simba muache unafiki,match ya Berkane mlivyoshinda mkatamba hii ndio timu sasa,leo mnageuza maneno.Hatuna uwezo wowote mkuu
Yeah simba wanapitia kwa mpalange mpaka kariakoo.Mimosas ni msindikizaji tu wanaopita washajulikana ni Berkane na simba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani nyie Mashabiki wa Simba muache unafiki,match ya Berkane mlivyoshinda mkatamba hii ndio timu sasa,leo mnageuza maneno.
Shule ulienda kusomea ujingaYaani nyie Mashabiki wa Simba muache unafiki,match ya Berkane mlivyoshinda mkatamba hii ndio timu sasa,leo mnageuza maneno.
Nashauri CAF waifungie Simba kutumia uwanja wa MkapaDhithi idhi thimba bhana! Akiwa kwa Mkapa anakinukisha kweli kweli! 😁😁 Akitoka nje, anakuwa nyanya za masalo.