Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu kakune nazi huko
[emoji448]kiko wapi sasa,kile alichokuwa unajidai nacho..Ulijidai wewe mbabe sana, aibu imekupata.
Ooooh Yeees Mugaluuuuuuuu..! Anaweka Goli Safi Hapa [emoji460]
guvu moyaaa😂😂😂😂
Mechi ipi hiyo?Kama wale waliochezesha hapa kwa Mkapa, mkuu.
Na CAF wasipokuwa makini kuna matokeo yatapangwa kupitia marefarii
BadoMpira um3isha????
Kama itabaki hivyo, mechi za mwisho itakuwa kams fainali
Bado timu zote 4 zina nafasi ya kupita, muhimu ni kujipanga nyumbani tushinde.Na CAF wasipokuwa makini kuna matokeo yatapangwa kupitia marefarii
Leo kweli wa kumsema Kapombe, mkuu? Beki lenye maassist huko shirikisho?Kapombe mzuri ila kwangu Israh Mwenda atakuwa mzuri zaidi. Kapombe hana mbio na sijui kama anatumia miguu yote vizuri kama Mwenda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Boco bocco goaaal mambo matamu kabisa hadi muda huu mpira ni 3 kwa 4 [emoji23][emoji23][emoji23]
Tunataniana toka lini?Kweli ? Au utani
Berkane anashinda au droo
BadoMpira um3isha????