Watajua wenyewe ili mradi anaenda mmojawapo ni yule alienyumbani kwa Mkapa.Huyu asec yupo vizuri anaweza kumkalisha berkane kwao .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajua wenyewe ili mradi anaenda mmojawapo ni yule alienyumbani kwa Mkapa.Huyu asec yupo vizuri anaweza kumkalisha berkane kwao .
Bado nafasi ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ipo.
mkuu acha utani,berkane afe kwake?!😁😁😁😁Wakati hui USGN nao wanakuja kutafuta point tatu kwa udi na uvumba ili wawe na point 8 ili kusubiria kama Berkane watafungwa
Yes. wenye nafasi kubwa ya kupita ni simba na BerkaneBado nafasi ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ipo.
Kila laheri Simba
Hata wakifa 5 Simba hii ikienda roko finali ni Aibu huko mbeleni wanaweza kufungwa hata 9 hawa.Gendamarie anatakiwa afe 3
How!??Bado nafasi ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ipo.
Kila laheri Simba
9 mbona chache saanaHata wakifa 5 Simba hii ikienda roko finali ni Aibu huko mbeleni wanaweza kufungwa hata 9 hawa.
Kwani ukitoa credit kwa Air Manula itakuaje?Ukuta wa Berlin umeshachomesha Hawa jamaa hawajui kupiga penalty
Uko sahihi, nikujipanga tu.Wakati hui USGN nao wanakuja kutafuta point tatu kwa udi na uvumba ili wawe na point 8 ili kusubiria kama Berkane watafungwa
hajui soka la kiafrica huyu anaendeshwa na mihemko .soka la Africa sio kama la ulaya ambalo timu iwe home iwe away winning chance bado itategemea na mwenye uwezo. lakini Africa ni tofauti ,yani Africa ni kama vile ukiwa home tayari una goli moja mkononi.mkuu acha utani,berkane afe kwake?![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Daah ni kweliHata wakifa 5 Simba hii ikienda roko finali ni Aibu huko mbeleni wanaweza kufungwa hata 9 hawa.
Kafungwa Al Ahly akiwa kwao sembuse Berkane? Labda kama kuna kitu cha ziada kinachotumika zaidi ya kucheza mpira uwanjani. Ila kama ni mpira tu basi lolote laweza kutokea kwenye mpira haijalishi Berkane yupo wapimkuu acha utani,berkane afe kwake?![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wakishinda mechi ya mwisho watafuzuHow!??
kaburu arudi kwenye kamati ya usajiliUongozi unacheza na mashabiki wakiona wanalalamika sana basi wachezaji watapewa motisha watacheza vzr mechi kadhaa watashinda mashabiki watatulia na mashabiki tumetifautiana kuna wale wenye mahaba yan hawataki baya waambiwe kwenye timu hata kama kuna shida kwa mimi SSC hata kama kipindi kile inashinda sikuwa na ile amani 100% kwa sababu hawajatibu tatizo SSC inahitaji maboresho makubwa sana kuna wachezaji wengi wanatakiwa wasepe pale hata kama wakicheza vzr mechi mbili tatu wanatakiwa watoke waje wapya wenye uwezo tuachane na haya mambo ya viongozi kucheza na akili za mashabiki kama kweli wanataka mafanikio kikosi lazima kifumuliwe
Mwamba umepotea Sana kwenye uchambuzi wako wa movie na series wapenzi wako tumemisi SanaHivi unavyoongea unajisikia?