FT| ASFC: Simba SC 5-1 Ihefu SC | Azam Complex Stadium | Aprili 7, 2023

FT| ASFC: Simba SC 5-1 Ihefu SC | Azam Complex Stadium | Aprili 7, 2023

Walifanya promosheni kubwa na mashabiki wakajua hapa ushindi ni kuanzia bao 3

Saizi tena kwa Rivers United wamekuja na ajenda ile ile ya kisasi
Ngoja tuwasubiri tuone maana watakuwa wamesahau walipigwa nje ndani na hao RIVERS🤣🤣
 
Mazoezi ya kukabili waidadi kasabulanka yule bingwa mtetezi wa kikombe cha timu bingwa Wa mabingwa Afirika yote.
 
Kuna timu tarehe 16 mwezi huuhuuu itacheza ikikumbuka ya Horoya
 
Back
Top Bottom