Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Saa mbili unusu usiku.Kila la kheri Mnyama.
Mechi inatwangwa Saa ngapi? Wengine macho hayaoni vizuri kwenye bango.
Umeshindwa kuona kwenye bangk utaona kwa comentKila la kheri Mnyama.
Mechi inatwangwa Saa ngapi? Wengine macho hayaoni vizuri kwenye bango.
leo azam watapigwa 4:1Simba bingwa
Simba ikifungwa nipigwe ban la milele
Mbona mtani kama umepanik...πππchimba lazima mlambwe lolote liwakute!,mpigwe mpk meno yang'oke mrudi vibogoyo madunduka fc,nyau fc, kolozidadi fc,nyumbu fc mechi ya leo shetani ameamka nanyie na atalala nanyie.. π
hamjawahi kukubali magoli yetu sasa shindeni yakwenu original!Mbona mtani kama umepanik...πππ
Jana mmeshinda lakini goli lenu lilikuwa feki.
Yetu yale ya Kibu, Ateba na Balua uliona Kuna utata?hamjawahi kukubali magoli yetu sasa shindeni yakwenu original!
Shukran Mkuu.S
Saa mbili unusu usiku.
Wacheze ama waloge?Hii mechi ata simba waloge kiasi gani Azam hawafungwi kabisa Ft Azam 2-1Simba.