BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Ngoja tuone ila simba kutoboa ni ngumu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
full time azam1-4 simbaHii mechi ata simba waloge kiasi gani Azam hawafungwi kabisa Ft Azam 2-1Simba.
Azam 3 vs Simba 2Kila la kheri Simba SC.
FT: Azam 0 vs 2 Simba SC.
kwa sababu mechi imepelekwa hadi sa 2:30 usiku azam yatawakuta ya al-ahaly tripoliAzam 3 vs Simba 2
Azam ni dude flaniKila la heri wakubwa..Simba mwaka wenu huu...
😃 Azam wanapenda kukamia tu ila timu Yao ya kawaida sanaUmeongea kiufundi mno mtani...najua humaanishi ila inapendeza😃😃😃🙃🙃
Hizi mbwa zipigwe tano kama kawa..!!Alhamis hii katika NBC Premier League ni Mzizima Derby, Azam FC kukipiga na wekundu wa msimbazi Simba SC
Mtanange huu utapigwa katika dimba la New Amaan Complex,
View attachment 3106819
Kuna neno umeliruka banaa.. Ni lolote BAYA
Azam anataka kujiaminisha kuwa New Amani Complex ni uwanja wa nyumbani, hivyo atajitutumua sana, hivyo Simba wajitayarishe kisaikolojia lolote linaweza kutokea, hata hivyo rekodi zinampa ushindi Simba lakini patachimbika.kwa sababu mechi imepelekwa hadi sa 2:30 usiku azam yatawakuta ya al-ahaly tripoli
Mimi si mtoa mada, lakini kifo cha hawa makolo kinaanza saa 2 na nusu usiku wa leo
Uwezo huo 51mba hawana..!! Watapigwa kimokokwa sababu mechi imepelekwa hadi sa 2:30 usiku azam yatawakuta ya al-ahaly tripoli