Acha uongo hakuzuia ili Simba aweke ukuta bali Azam waliiba eneo la kuanzishia mpira zaidi ya mita moja kitu ambacho kwa sheria za mpira hakikubaliki.Hapana, wachezaji wengi wa Azam refa aliwa vunja Moyo Sana, Kuna muda walipata in direct kick waka weka mpira Nchini na ku uanza faster, Refa aka zuia shambulizi lao eti wasubiri Simba wawekee ukuta.
Yaani ni comedy tupu.
Kumbe bacca alikuwa offside🤣 wewe Mpira uliangalia WA kwako tu sio ule wa yanga na ken gold, mchezaji atoke nyuma afunge alafu iwe offside? Mangungu aliwaelekeza ivyo kwa Sheria zake za offside!Offside ya Bacca Mbeya ambalo ni goli la ushindi umeiona.Goli la Ken Gold umeliona?
Kelele mwaka huu zimeanza mapema sana.Kulikoni?Chezeni mpira wacheni lia lia.Lia Lia FC.
Mpira wa kichwa wa Kibu uliokolewa wakati mpira umeshavuka mstari. Lile goli anatakiwa apewe Kibu na siyo Ngoma.Hujui mpira!
Faulo inapigwa , wakati mchezaji wa Simba anapiga kichwa Ngoma yuko in offside position. Kipa kaokoa ukamrudia Ngoma akafunga yuko offside!! Wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono ila refa Sasii nae kolo wahed , kaweka kati , uonevu mkubwa! Bahasha zimfikie refa kafanya kazi nzuri aliyotumwa!
Hamna timu makolo nyie, ndo maana mpo ligi ya mademu shirikisho!!
mkuu siku 3 kwenda na kurudi wakati juzi mmechezea hapa dar tena na timu mbovu iliyo chapwa na biasharaMatokeo ni muhimu zaidi. Pia hii mechi imechezwa siku 3 tu baada ya mechi ngumu za CAF + safari ndefu ya km 15,000 kwenda na kurudi Libya.
ana mkatale kwenye miguuHiv mutale huwa anacheza nn?
nabado safari hii ndo watawakamia vizuri kama hamueleweki watatumia hata mafta ya p.didyAzam kazi yao kukamia yanga ndo malengo yao ligi kuu.
hao wanahangaika tu mwenye hiyo nafasi katulia utopwinyo anawachekaaaMpambana wa kugombea nafasi ya pili msimu huu utakuwa mkali sana, nawaona simba,singida black stars pamoja na azam wakitoana roho kuipata nafasi hii adimu ya kuungana na machampioni Yanga kwenda kushiriki caf champions league mwakani
ingia weweGoli la offside, aibu sana Ngoma yuko peke yake, ndo maana Simba ilikandwa 5-1 na Yanga .
Huyu Sasii hafai kuchezesha Derby.
wametiwa mimba changaUtopolo wanaondoka kwenye bandaumiza huku wanaongea wenyewe na kutematema mate sijui shida ni nini
Hujielewi wewe unaropoka.Yote hayo uliyoyataja hayatengenezi Class.
Mbape anacheza ligi ngumu ulaya.lakini haimfanyi awe class Moja na Ronaldo. Messi anayecheza ligi rahisi Marekani ndiyo yupo class Moja na Ronaldo.
Wewe hujiulizi ni kwa nini wamepita wachezaji wengi sana ila wanaolinganishwa ni Hawa tu wanne? yaani.
1. Pele Vs Maradona
2. Messi Vs Ronaldo
Kujenga class siyo jambo rahisi ndugu yangu utopolo.
Yeah, si mbaya elfu 3 kunipa 26,000/=Uliibetia Simba?
Haaaa...naanzaje aisee..sema nilikua nimechoka kuangalia na ilitakiwa kuamka mapema..Ateba ndiyo kaumia, alirudi ila aliendelea kuchechemea hadi alipotolewa. Vipi umesusia chama lako?
Unaongozwa za hisia za UTOPWINYOOO..TOA HUO MWIKO HUKO NYUMAHujui mpira!
Faulo inapigwa , wakati mchezaji wa Simba anapiga kichwa Ngoma yuko in offside position. Kipa kaokoa ukamrudia Ngoma akafunga yuko offside!! Wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono ila refa Sasii nae kolo wahed , kaweka kati , uonevu mkubwa! Bahasha zimfikie refa kafanya kazi nzuri aliyotumwa!
Hamna timu makolo nyie, ndo maana mpo ligi ya mademu shirikisho!!
Aha sawaa nilitaka kushangaa dearHaaaa...naanzaje aisee..sema nilikua nimechoka kuangalia na ilitakiwa kuamka mapema..
Simba hii unaisusajeee..yani nimekaa na simba miaka yote hyo nije kuisusa leoo...hapana
Ukae pamoja na mimi ukiwa umevaa khanga ya daima mbele?Tafuta marudio ya kipindi cha kipyenga cha mwisho cha leo utatuliza mzuka. Ukikipata niite tukae pamoja, niko Buza Mpalanger maskani yetu uto og!