Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba wanapress sana wasipokua na mpiraSasa simba ikiwa haina mpira inachezaji vizuri sijaelewa
86Dakika ya ngapi uko!?
Kwani ni dkk ya ngapi..Jinsi hali inavyoenda, Utopolo nendeni tu Mkameze Panadol...! Haionyeshi kbs Azam watasawazisha
0-2Ubao wa JF unasomaje kwani
Mbona sielewi
Azam 0,simba 2Ubao wa JF unasomaje kwani
Mbona sielewi
Ndiyo sura yake mkuu usimsingizieHashim Ibweeeeeeee amenunaaaaa
Hebu weka picha nimtathminiSijui mdomo umetunaje. maana hata kabla hajanuna mdomo unakuwa umetuna usawa wa pua
Hakuna goli tatu hapo,umeliwa mkekaBado goli moja tufunge hata 3
mwaka gani hata ujazaliwa mkuu ama ndo unaleta notgham forest kubeba klabu bingwa ulayaKwani ww hukukandwa 6-0,5-0,4-1 na simba au chimpumu imepanda kichwani?
Kwanza Vipi lile la jana ni goli au sio goliChukua marudio ya picha ya video utaona, sio goli halali ni offside ya wazi na wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono. Yanga wasikubali tena kuchezeshwa na Sasii ni kolo la wazi. Hafai kabisa.
Mpira ni mchezo wa wazi mtani
iyo itakua historia mpyaWw ushakandwa sana na mnyama...
Yani hiyo hoja huwa haitushtui...
Tumebadilishana tuu wakati...
Jana na wewe ulichukua picha ya video kuona goli halali la Kengold?Chukua marudio ya picha ya video utaona, sio goli halali ni offside ya wazi na wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono. Yanga wasikubali tena kuchezeshwa na Sasii ni kolo la wazi. Hafai kabisa.
Mpira ni mchezo wa wazi mtani
Timu inaongoza goli 2 za offside ila mda wote wameshika pumbu
Ya jana yamepita tuseme ya leo. Magoli ya offside ya Ateba na Ngoma yameinyonga Azam hii si haki ndo maana Simba iko kombe la kinamama!Kwanza Vipi lile la jana ni goli au sio goli
Apewe juice ya ukwaju au ice-cream hatuna jinsiHashim Ibweeeeeeee amenunaaaaa