Nani alifungwa?Chumaaaaaaa.... Dah offside
Wamenyiwa goal lao.🤣 nikajua wamerudisha
Bado hali ni teteKiduchuuu
SimbaNani alifungwa?
Duh asee mbona ile ya yanga vs simba niliona humu linkLigi ya NBC hainaga link ni eidha uwe na Azam Max yenye subscription ya 23K au usikilize kwenye redio
Fungua macho acha umahaba wa timuClear Offside jombaa
bado haujasema...na utasema!!NIBEEEEEBEEEEEE
Labda sio Arajiga, tena hapo kajistukia tyuu, atawapaa bao hao azam.Wamenyiwa goal lao.
Mbeleko fcNi oofside kweli au mbumbumb u wamebebwa kama kawa, kwa mnaoangalia?