Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nani kafunga?Goooal SSC 1-0 AZM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kafunga?Goooal SSC 1-0 AZM
KanuteeeeeHawa fungus bora tu wasifungane..!🤸
KanuteNani kafunga?
Dk ya ngapi hapo!Kituuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!
65Dk ya ngapi hapo!
Nilijua mapema tuAzam wakieendelea kucheza hivi, kuondoka na clean sheet ni ngumu, shape yao ulinzi haipo sawa, na pia wamekuwa wanataka mpira wa mambo mengi tofauti na Simba wapo direct. Halafu wachezaji wa Azam wanajiamini kuliko kiasi
hivi waliifungaje yangaAzam ni team mbovu sana . Awawezi kuvuka group stages hawa . Kila mchezi wa azam aikienda mbele yupo pekee yake . Ni kama awajui cha kufanya mbele . Ningekuwa azim ningefukuza wote
Unao wangapi, sio kibu tena😁Ni yule yulee mume wangu kipenziiiiii
Kanouteeee!!!!! Kanouteeee!!!! Kanouteeee!!!
Kanouteeeeee babaaaaaa!!!!!
Asante mkuu, Simba washinde