FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

Huyu ifike hatua tumkatae ktk match zetu, ameshaonesha wazi yeye ana chuki na sisi, akachezeshe Match za wengine.

Referees wako wengi tyuu, matako yake msenge huyu anakatwaa nn?
Haaah.
Umempa makavu sana
 
Hawa wapuuzi wangejua tumeweka mihela wangefungana tufunge hesabu mapema
 
Yani Fei mishuti anaiyo ipigaga kapigi kishoot cha kitoto sijui anawaonea huruma,angefumua kama la Kigoma,tungeenda HT na moja.

NB; Tupo Azam kwa mkopo.
 
Azam Huwa siwaelewii,ivi wanakuaga na malengoo makubwa kweli? Mbona wachezaji hawana uchu wa ushindii...hawajui faida ya kua CL.Basi Mtani Bora tu aende yeye Azam hata makundi hawatafikaa wabaki nyumbanii.
 
Battle ya wauza juisi[emoji41]
Screenshot_2024-05-09-19-14-22-39_6012fa4d4ddec268fc5c7112cbb265e7.jpg
 
Mimi leo nasimama na Watani zangu Simba.
Azam tangu watukamie hawana adabu kabisa sijui wanataka kujikuta nani hapa Daslam hasa huyo Fei wallah bora amekosa penati...
Yani Simba leo nguvu moyaa wapigeni hao watoto kuna mda wanajisahau sana
 
PENAT ILIKUA YA HALALI

Kwakua timu kubwa zimezoea kubebwa utaanza sikia penat ya mchongo

huko washaanza kumtaja taja arajiga
 
Mechi ikiisha hakikisha unapanda gari yako private kurudi nyumbani. Tununue magari jamani. Utakuja kunishukuru
 
Back
Top Bottom