EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Penat halali ile wewe mshukuru feisaliArajiga ni agent Wa Uto, na amesaidia Sana kutengeneza hili gap....!
Kila Mechi Lzm atoe Penati za Mchongo dhidi ya Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penat halali ile wewe mshukuru feisaliArajiga ni agent Wa Uto, na amesaidia Sana kutengeneza hili gap....!
Kila Mechi Lzm atoe Penati za Mchongo dhidi ya Simba
Makosa yameanzia kwa shabalalaNa huyu Che malone huwa ana nini mbon anasababisha sana penati
Hali tete kwa wote.Hakika mkuu. Hamna cha maana katika kipindi hiki cha kwanza wakifanyacho
Kibu ndio atatufutia aibu leo.View attachment 2985008
View attachment 2985846
#nguvumoja#
VIKOSI VINAVYOANZA.
AZAM FC
View attachment 2985936
SIMBA SC.
View attachment 2985938
Updates...
Timu zote mbili zimeshaingia Benjamin Mkapa.
Wanajiandaa kuanza mazoezi ya kupasha misuli.
Updates....
04'
Azam wanajaribu kufanya shambulizi, halifanikiwi.
20'
Mpira unaendelea na timu zinashambuliana kwa kasi sana.
Azam 0-0 Simba
29'
Simba wanapata kona!
Haileti madhara yoyote yale.
34'
Azam wanapata penati hapa.
Anapiga Feisali Salum
Amekosaaaaaaaaaaaaaa...
Imegonga mwamba na kurudi uwanjani.
39'
Mpira umesimama kwa muda .
Kanoute amegongana na kipa Mustafa.
Anatolewa nje kwa matibabu zaidi.
HT
0-0
----------------------
Kipindi cha pili
55'
Game on
0-0
Striker la yangaHii mechi ingekuwa imeisha kama angekuwepo mwana mfalme Mphomelelo Dube
Haya tuliaaa.Kila kitu kinapokwama katika harakati za maisha hua unahisi kila mtu anakuchukia. Vumilieni tu kwa yote ni muda wenu wa kula msoto makolo nyie