FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

75'
Simba wanapata Free Kick nje kidogo ya 18
 
Chumaaaaaaaaaa
 
Kaka mpira ukiisha utaona marudio. Offside ilikuwa kabla ya mpigaji wa mwisho.
Nado wakati anapiga walishaua offside.
hawajui kuangalia offside hao wao wanaangalia mpira ulipotua badala ya kuangalia wakat mpira unapigwa wachezaji walikua wapi? kabla yakufata mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…