Wamekusikia si muda mrefu ataingiaAingie ....Last born Banda
mpira uko azamUsipojali matokeo...Kuna Boli Kali Sana Hapa linafanana na Boli la Makundi ya CL CAF....
Mmeanza lawama .Daah kweli nimeamin anayeihujum team ni matola, yaan hii match kwel ni ya kumuingiza Boko!???? For wat purpose mgunda anaendeshwa na huyu kenge matola na Wala hashtukii!??
hahaha 44 unbiten si rahisi hahahahaSimba tuokoeni utopolo watatucheka sana