FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

Hata mkiungana nyie team zisizo na viwanja tunawaua
 
wamechana mkeka wangu sitaki kusikia
 
Wale waliokuwa wanasema Simba atafungwa na Azam kwasababu ei Yanga alipata sare kwa tabu ebu njooni mjishike ujinga
𝑼𝒏𝒂 𝒍𝒂 π’Œπ’–π’”π’†π’Žπ’‚ 𝒔𝒂𝒔𝒂 [emoji847]
 
Jamani wa kimataifa imekuaje na ndugu zao Azam? Kwema humu ndani? 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…