FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

We utakuwa una matatizo sio bure

Yani Kanoute unamuona mbovu?

Israh huyu aliyemfanya Kisinda mpaka akahama upande na kuonekana hana la maana uwanjani leo hii unawezaje kumuongelea kama mchezaji mbovu?

Actually hatukatai kwamba kuna siku mpira unaweza ukamgomea mchezaji yeyote yule hata yule ambaye siku zote amekuwa akiipa faida timu

Ila hatuwezi kusema mchezaji mbovu kwa makosa ya mechi moja

Alichokifanya Habibu Kyombo kukosa goli la wazi ukitaka kumsema kwamba ni mbovu, unapaswa ukumbuke Mayele amekuwa akikosa nafasi zaidi ya tatu kwenye mechi moja

So nayeye utasema ni mbovu?
Kakosa kiyombo tu mbona ata zaydi kagongesha mwamba husemi
 
Kakosa kiyombo tu mbona ata zaydi kagongesha mwamba husemi
We huelewi hata unacho kijadili

Kukosa kwa Zaydi sio uzembe, kukosa kwa Kyombo ni uzembe

Huelewi hata tunacho bishana?
 
Unaongea ujinga au nitaje magarasa tuliyowauzia mnayategea?


Manura tuliwapa

Nyoni tuliwapa

Kapombe tuliwapa

Wawa tuliwapa

Bocco tuliwapa

Nyie mmetupa nani?

Hao wote sisi tuliwaona useless
Kuanzia hapa siwezi kukujibu kitu

Unaonekana ni mtu ambaye unaongea kwasababu tu unamdomo, na sio kama una hoja au unajua soka
 
Kuanzia hapa siwezi kukujibu kitu

Unaonekana ni mtu ambaye unaongea kwasababu tu unamdomo, na sio kama una hoja au unajua soka
Ni hoja sie tukiwa tema mnachukua

Simba na yanga ni wakawaida mno
 
[emoji443][emoji445]Sisiiiiii sio level zaooo,haooo Makolooooo[emoji445][emoji444]
 
Lakini kimoyomoyo unatamani kusema mnyama atanyolewa leo!
ila ukikumbuka mipasi ya chama, mautundu ya magic okrah, mauwezo na phili na makontro ya kyombo unaishia kujitapa eti unasubiri dakika 90? hujaona nyuzi ya uto wakijidai ni azam leo?
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee wa mipasi ya kunyooshea nguo
 
We utakuwa una matatizo sio bure

Yani Kanoute unamuona mbovu?

Israh huyu aliyemfanya Kisinda mpaka akahama upande na kuonekana hana la maana uwanjani leo hii unawezaje kumuongelea kama mchezaji mbovu?

Actually hatukatai kwamba kuna siku mpira unaweza ukamgomea mchezaji yeyote yule hata yule ambaye siku zote amekuwa akiipa faida timu

Ila hatuwezi kusema mchezaji mbovu kwa makosa ya mechi moja

Alichokifanya Habibu Kyombo kukosa goli la wazi ukitaka kumsema kwamba ni mbovu, unapaswa ukumbuke Mayele amekuwa akikosa nafasi zaidi ya tatu kwenye mechi moja

So nayeye utasema ni mbovu?
Adabu imekuingia sasa naona una anza kumtumia Mayele kama reference [emoji1666] bado Aziz K
 
Back
Top Bottom