Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kumbe ilipanda? Ila naona mada za Mgunda sio kocha, bali ni muhamasishaji ndio zimeibuka[emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ilipanda? Ila naona mada za Mgunda sio kocha, bali ni muhamasishaji ndio zimeibuka[emoji28][emoji28][emoji28]
Hata ingepita miaka sitini kufungwa ni kufungwa tu mura92+3' Full time, Azam anamtwanga Simba baada ya takriban miaka sita bila ushindi. Yanga anasalia kileleni kwa tofauti ya alama 3
[emoji16] naelewa mtashinda ila mkishinda Mimi AshuraAzam ni Mdebwedo sanaaa tusipo wafunga tumejitakia
Wakifa mimi najitoa JfHawa wanakufa muda si mrefu
Amtaki mmezidiwa? Mbinu?Simba ni Dalili Tosha Kuwa Hatutaki ushindi
Kwaiyo tukusaidieje nawe fanya kama waoAzam wanapaki basi na kushambulia kwa kustukiza
Game sio moja watamuua bureMbinu za ki k zimeanza,kocha wa azam hizo hela ulizokula zitakutokea puani,unamtoaje kipre?mchezaj bora wa hii mech mpk dk hizi?
Mkiambiwa Azam kawekesa mnaleta ubishi msimu hatufungwi na team zisizo na viwanjaDaaah huu mpira wa leo hata siuelewi
Malalamiko FC [emoji38]Tayari kumekucha! [emoji2]
Mkifungwa mmebahatishwa hatupoteza kwa team zisizo na viwanjaAmebahatisha tu.
Azam ina kila kitu lkn litimu linaboronga kila siku aaaa.
Leo wamebahatisha
The tank haswa uyoMwamba huyo hapo NDALA,hamna cha Chama wala Chauma kavuruga vuruga na kutibua mipango yote.
View attachment 2399735
Tell her brother mm hanielewiManula amuweke benchi kipa wa Azzam? Labda Chama anaweza kupigania namba, hao wengine hamna kitu.
Naziona goli 2 mnyama anashinda
Hata Air Manula hamumtaki tena kisa ameitwa MV Manula.Tusitegemee kufika Mtoani kwa hawa watu
Bocco
Matola
Manura
Kibu
Mgunda
Banda