FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

Acha kuwalaumu mods wakati makosa yapo kwako, umeandika neno moja tu UJINGA then unapewa taarifa uandike zaidi ya maneno matatu wewe unakasirika, sasa kosa la mods hapo ni nini? Au kipigo cha leo kimekuchanganya.

Elewa kutofautisha kati ya neno na herufi
Toa tu iyo mimba..
 
Hivi Kumbe Azam ni tawi la Yanga? Maana azam ni mmoja tuu mi namfamhamu humu ila naona kuna azam lialia wanawacheka wana lunyasi ila ni kama ni watu wa Utopoloni hahahaaa.
Leo ukumbi wenu huu
 
Sasa uwekezaji Simba haijafanya?

Wachezaji kama majeruhi unataka tuchezeshe makocha wakati wachezaji waakiba wapo?

So tusiwaweke katika nafasi hizo kwasababu hawana game fitness au rekodi nzuri?

Unaongea uwekezaji wakati timu yako ina Kisinda, Moloko na Birigimanya ambao wote wamepwaya kwenye mechi zao za mwisho?

Au uwekezaji kwenye mifuko ya marefa kama nyinyi wenzetu mnavyofanya?
Asa bro mtu ana isah ndala una kanoute kweli upo serious?

Mtu ana kipre junior wewe una sakho serious?

Acheni siasa mwaka jana Simba na yanga mmefunga azam
NADO, LYANGA,BAJANA, DUBE MAJERUHI

AGREY , MUDATHURI, SURE BOY WAMEFUNGIWA

MKAONGEA SANA LEO MNASINGIZIA NINI NYIE NA YANGA ATA MKIUNGANA MNAPIGWA NA AZAM
 
Ila Kyombo bado ni mzuri wampe nafasi ajiamini sio kumtoa benchi kunamfanya akose kujiamini. Unaona kabisa hata uchezaji wake akitulia ni bonge la mchezaji.
Skuungi mkono mkuu,yaan leo Kyombo kakosa goli la wazi mno, yaan Kama inawezekana dirisha dogo angeondoka tu pamoja na Kibu wake
 
Hivi Kumbe Azam ni tawi la Yanga? Maana azam ni mmoja tuu mi namfamhamu humu ila naona kuna azam lialia wanawacheka wana lunyasi ila ni kama ni watu wa Utopoloni hahahaaa.
Leo ukumbi wenu huu
Niko pekeangu tu
 
Skuungi mkono mkuu,yaan leo Kyombo kakosa goli la wazi mno, yaan Kama inawezekana dirisha dogo angeondoka tu pamoja na Kibu wake
Hapana ni kwa sababu hawampi nafasi hivyo anakosa kujiamini
 
Tawile [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Napenda kuona sana mkiwa mnacheka na kuweka kando matusi ambayo mmekuwa mkiyatoa dhidi ya wengine

Kumbe kushindwa kwa Simba on othwr hand kunawaongezea busara baadhi ya watu
 
Asa bro mtu ana isah ndala una kanoute kweli upo serious?

Mtu ana kipre junior wewe una sakho serious?

Acheni siasa mwaka jana Simba na yanga mmefunga azam
NADO, LYANGA,BAJANA, DUBE MAJERUHI

AGREY , MUDATHURI, SURE BOY WAMEFUNGIWA

MKAONGEA SANA LEO MNASINGIZIA NINI NYIE NA YANGA ATA MKIUNGANA MNAPIGWA NA AZAM
We utakuwa una matatizo sio bure

Yani Kanoute unamuona mbovu?

Israh huyu aliyemfanya Kisinda mpaka akahama upande na kuonekana hana la maana uwanjani leo hii unawezaje kumuongelea kama mchezaji mbovu?

Actually hatukatai kwamba kuna siku mpira unaweza ukamgomea mchezaji yeyote yule hata yule ambaye siku zote amekuwa akiipa faida timu

Ila hatuwezi kusema mchezaji mbovu kwa makosa ya mechi moja

Alichokifanya Habibu Kyombo kukosa goli la wazi ukitaka kumsema kwamba ni mbovu, unapaswa ukumbuke Mayele amekuwa akikosa nafasi zaidi ya tatu kwenye mechi moja

So nayeye utasema ni mbovu?
 
We utakuwa una matatizo sio bure

Yani Kanoute unamuona mbovu?

Israh huyu aliyemfanya Kisinda mpaka akahama upande na kuonekana hana la maana uwanjani leo hii unawezaje kumuongelea kama mchezaji mbovu?

Actually hatukatai kwamba kuna siku mpira unaweza ukamgomea mchezaji yeyote yule hata yule ambaye siku zote amekuwa akiipa faida timu

Ila hatuwezi kusema mchezaji mbovu kwa makosa ya mechi moja

Alichokifanya Habibu Kyombo kukosa goli la wazi ukitaka kumsema kwamba ni mbovu, unapaswa ukumbuke Mayele amekuwa akikosa nafasi zaidi ya tatu kwenye mechi moja

So nayeye utasema ni mbovu?
Ivi bro kuna mchezaji gani simba anaepata number azam tukiacha ushabiki ukimtoa Chama?
 
Back
Top Bottom