Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Yuko anaandaa uzi soon utapandishwaKuna yule mpiga ramli anajiita GENTAMYCINE, sijui yukoje sasa hivi
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko anaandaa uzi soon utapandishwaKuna yule mpiga ramli anajiita GENTAMYCINE, sijui yukoje sasa hivi
Kweli kabisa kila kitu kwa wakati wake. Akubali tuuu astaafu kwa heshima na atapata kazi hapo hapo simba na sio kuchezaUmri umeenda halafu mpira na umri vinafanana, leo aliyemwona c.ronaldo wa enzi zile chenga za mkasi na huyu wa leo unaona kabisa moyo unataka lakini mwili umekataa mpira
Nyie simba na yanga combined hamtufungi AzamUto mwenzako huyo.
Upande wa Erasto nyoni ndio umefakishaTumekuja. Tuonyeshe tulikosea wapi
Sura ni mzuri kweli Kama nandyIla Kyombo bado ni mzuri wampe nafasi ajiamini sio kumtoa benchi kunamfanya akose kujiamini. Unaona kabisa hata uchezaji wake akitulia ni bonge la mchezaji.
Bro i told you mpira uwekezaji sio historia hata muungane simba na Yanga refa awe fair hamuifungi AzamUpande wa Erasto nyoni ndio umefakisha
Plus Kyombo kakosa mabao mawili ya wazi
Ushaelewa mkuu mandongaSura ni mzuri kweli Kama nandy
Kheeeee!Hawa ndio wamesababisha mpaka matokeo yawe hivi
Sasa uwekezaji Simba haijafanya?Bro i told you mpira uwekezaji sio historia hata muungane simba na Yanga refa awe fair hamuifungi Azam
Uvumilivu Sawa, lakini kuna siku ataonekana na refa tutaimba hadithi tofauti.Mashabiki wa Simba muwe wavimilivu jamani
Kwanza unabidi uelewe kuwa Simba haina falsafa ya kuhesabu mechi ambazo hawajapoteza.Kheeeee!
Kwa Magugu yale mlitegemea ushindi kweli [emoji15][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] wakifungwa wengine hua mnasema bahasha mtuambie nyie bahasha imehusika?Hatufanyagi huo ujinga
Muhimu kombe, kushiriki sio mashindano ya kwaya hayoHalafu nyie Uto Mgunda bado yupo sana tena sana tuu kupoteza mechi moja sio ndo kwamba ni mbovu.. huyo wenu anibiteni mbona mechi za nje huko anashindwa?