City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 402
- 1,212
Nyanyua kwanza kwapa sio unalingia ukubwa wa vijiweniPamoja na hayo Simba ni timu kubwa africa yote
Hata man city alifungwa liverpool
Simba nguvu 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanyua kwanza kwapa sio unalingia ukubwa wa vijiweniPamoja na hayo Simba ni timu kubwa africa yote
Hata man city alifungwa liverpool
Simba nguvu 1
Yanga walibebwa mnoo ushindi wao ni wa kimagumashi magumasshi ndo maana hawatoboi kimataifaYanga pia ni Asante refa
Tayari kumekucha! 😃Juma Ramadhan Mgunda nakukubali ila leo umezingua tangu asubuhi. Kama vipi wewe fundisha ila kikosi tuachie mashabiki tupange. Azam wana kasi na ni vijana wadogo walihitaji vijana wadogo wenzao. Game hii kumchezesha Nyoni, Bocco, na Mkude na kuwaingiza akina Banda, Sakho dakika za lala salama ni kulewa sifa. 😭
Kwa hiyo Leo ndio unajua kua kufungwa Kila timu inafungwaPamoja na hayo Simba ni timu kubwa africa yote
Hata man city alifungwa liverpool
Simba nguvu 1
Sidhani mkuu ushindani bado ni mkubwaPole sana rafiki. Ulale mapema, ili kupunguza munkari. Sasa amebakia Yanga peke yake ambaye ni unbeaten mpaka sasa.
Na safari ya ubingwa kwa mara ya pili mfululizo, ndiyo imeanza hivyo.
Wale waliokuwa wanasema Simba atafungwa na Azam kwasababu ei Yanga alipata sare kwa tabu ebu njooni mjishike ujinga
Tumekuja. Tuonyeshe tulikosea wapiWale waliokuwa wanasema Simba atafungwa na Azam kwasababu ei Yanga alipata sare kwa tabu ebu njooni mjishike ujinga
Mtoea hapo Phiri. Huyu Dube ambae hajafunga mechi 7 mfululizo au unamsema lucky dube?Dube sawa na phiri+kiyombo + kibu
Wana Thiiiiiiiiiiiiiiiimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanabebwa hadi wakikutana na wewe? Maana huwa huambulii, zaidi draw.Yanga walibebwa mnoo ushindi wao ni wa kimagumashi magumasshi ndo maana hawatoboi kimataifa
Nguvu za kukamià walimalizia kwa Uto.Naam, kwa huu uchezaji..wanakula nyingi leo.. Wamepoa mnoo, sijui kuna nini.
Mue nauvumilivu jaman makoloManura si kipa
Tunamsifia tu ila makosa yake yanajirudia sana
Mechi zote anazofungwa magoli hutokea mbali
Bocco hana msaada
Nyoni kazeeka
Mkude hafai
Banda hafai
Akpan aondolewe
Kibu hafai
Naamini angeingia, halafu akafunga goli la kusawazisha! Usingeuliza hili swali.Huyu Bocco ameingia kufanya nini?
Kama unadhani Unbeaten ni rahisi, fanya na wewe ndugu yangu. [emoji1][emoji1]Tulia hamna cha maji kujitenga na mafuta Yanga bado ni wabovu tuu msikilizeni mwenye akili sunday manara msishupaze shingo na hizo un beaten zenu mkakalie moto kwa waarabu
Mnasahau sana tatizoMtoea hapo Phiri. Huyu Dube ambae hajafunga mechi 7 mfululizo au unamsema lucky dube?