Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sanaaaa😂😂😂 mngepata kagoli hapa sahivi ingekua ni matarumbeta makelele utadhani mnaenda kuposa kwa mzaramoHivi huwa tuna midomo eee 😀 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaaa😂😂😂 mngepata kagoli hapa sahivi ingekua ni matarumbeta makelele utadhani mnaenda kuposa kwa mzaramoHivi huwa tuna midomo eee 😀 😀 😀 😀
Amechemka sana. Ila tumsamehe siku hazilinganiJuma Ramadhan Mgunda nakukubali ila leo umezingua tangu asubuhi. Kama vipi wewe fundisha ila kikosi tuachie mashabiki tupange. Azam wana kasi na ni vijana wadogo walihitaji vijana wadogo wenzao. Game hii kumchezesha Nyoni, Bocco, na Mkude na kuwaingiza akina Banda, Sakho dakika za lala salama ni kulewa sifa. 😭
Si tulikubaliana kuwa Kyombo ndiye striker hatari sana kuliko wazawa wote wa Bongo au [emoji848][emoji28]Sina cha kusema best si uliona niko kimyaaa? Yani magoli ya wazi kyombo amekosa tumlaumu nani sasa
Weeee kumbeee. Ila sisi tunaipenda timu yetu banaaaSanaaaa😂😂😂 mngepata kagoli hapa sahivi ingekua ni matarumbeta makelele utadhani mnaenda kuposa kwa mzaramo
Huyu Bocco ameingia kufanya nini?
Leo ndio tumejua Nani alikuwa anashangilia sare [emoji23][emoji23][emoji1751]Sakho kwa manyama mnaota
Nayachukua maoni yako kama challenge kwasababu tushapoteza na kila mtu leo atavaa joho la kiuchambuzi kutoa kasoro yale aliyoyaonaHauelewi nini sasa! Mbona nilishawatabiria kufungwa leo! Mkijitahidi sana basi ni sare! Na sababu ziko 3:-
1. Mmetoka kucheza mechi ngumu na Yanga.
2. Azam ana kikosi bora msimu huu, na kilichopoteza mechi 2 zilizopota kizembe! Hivyo walihitaji kujiuliza kwenu.
3. Azam kwa sasa ipo chini ya kocha wa muda Kally Ongala! Hivyo hata ningekuwa mimi, ningehakikisha nawakazia mwanzo mwisho, ili uongozi uniamini na hivyo kuwa kocha mkuu.
Bahati mbaya hakutulia tuu,mtu anaachwa benchi kila mechi unadhani hyo presha yake itakuwajeSi tulikubaliana kuwa Kyombo ndiye striker hatari sana kuliko wazawa wote wa Bongo au [emoji848][emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sisi ule mwamba haujauona?Haikua upande wetu leo magoli ya wazi kabisa kyombo na okra daaaaah inaumaaa
Wanataka uandike sentence ndefu km hiviYani eti ykiandika "fresh" ukataka kupost inakugomea
Nyie hata muuungane na yanga refa awe fair hamtufungiYah Azam walikua vizuri sana
Amechemka sana. Ila tumsamehe siku hazilingani
Pole sana rafiki. Ulale mapema, ili kupunguza munkari. Sasa amebakia Yanga peke yake ambaye ni unbeaten mpaka sasa.Haikua upande wetu leo magoli ya wazi kabisa kyombo na okra daaaaah inaumaaa
Dube sawa na phiri+kiyombo + kibuHuyo aliefunga azam.kalia kama kafiwa yani hili bao lake leo ataota
Yanga pia ni Asante refaLeo ndio tumejua Nani alikuwa anashangilia sare [emoji23][emoji23][emoji1751]
Tulia hamna cha maji kujitenga na mafuta Yanga bado ni wabovu tuu msikilizeni mwenye akili sunday manara msishupaze shingo na hizo un beaten zenu mkakalie moto kwa waarabu#Fact ni hii mechi ya de agosto ndo ilificha ubovu wa simba nilitamani sana mgunda apewe mkataba kabla ya hii mechi ndio ungekuwa mkataba mfupi wa kocha kuwahi kutokea
Unbeaten is real, mafuta yamejitenga na Maji