Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
matola ni msenge tangiapo, nyoni, boko, mkude, wanafanya nini uwanjani???Kiko wapi jeuri yenuu , Basi atakuja popoma mmoja anajiita genta atamalumu matola
Mgunda ajiandae kupokea mitusi,utasikia HAFAIIIIMashabiki wa Simba muwe wavimilivu jamani
Azam hawajapaki basi kwa kifupi mmepoteana kati. Mpaka sasa dk ya 80 hamna shot on target hata moja.Timu yote Ya Azam Sasa inacheza nyuma.....ni kama Wamepaki basi.
sio kwa timu hiiMpira haujaisha. Bakiza maneno
Hauelewi nini sasa! Mbona nilishawatabiria kufungwa leo! Mkijitahidi sana basi ni sare! Na sababu ziko 3:-Daaah huu mpira wa leo hata siuelewi
kwa yanga ulipiga 2Dakik 80 hatujapiga shot on taget golini Kwa azam
Kama ni hivyo naomba hata tuchomoe game iishe 1-1Mzee wa kupambania mambo magumu
kipindi cha 2 mkirudi mtasawazishaDakika ya 82
Leo lamba lamba wameamua hakuna hiyo nafasi mtaniKama ni hivyo naomba hata tuchomoe game iishe 1-1