Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapambane na hali zao. Ikiwezekana wafike hata miaka 40 bila kuyaona makundiSina naomba uwaombee Utopolo mwiko nyuma waingie makundi ya CAF Champion league kwa Yesu awasaidie miaka 24 sio mchezo awatoe mapepo
Walikuwa wanamtaka feisalAzam hawajui wanachotaka
Kwani Azam haya mashindano aliyotolewa leo ni champion legue acha kuchanganya mambo.hayo mashindano anayocheza Azam sisi tumefika fainali.ninyi haya mashindano si mliloga kule South uwanjani na bado mkafeli wazee wa robo.subirini safari hii champion tutafika nusu ambayo ninyi hamjawahi kufikaNyie mwiko nyuma mnamcheka Azam wakati nyie wenyewe ndio wale wale miaka 25 sijui 24 hujawahi cheza champions league yaan kiwete anamcheka kipofu kisa yeye anaona kuna Mwiko nyuma Full utopolo halafu kuna huyu Azam ni utopolo no 2 hasara kwa taifa
wapi nimesema Azam anashiriki champion leagueKwani Azam haya mashindano aliyotolewa leo ni champion legue acha kuchanganya mambo.hayo mashindano anayocheza Azam sisi tumefika fainali.ninyi haya mashindano si mliloga kule South uwanjani na bado mkafeli wazee wa robo.subirini safari hii champion tutafika nusu ambayo ninyi hamjawahi kufika
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Lete aiseeLipo swali utanisaidia jibu baadaye.
Atakuja na jedwali la pasi walizopigaAzam FC wana mambo kwelikweli, msimu huu wa mashindano badala ya kujenga timu yeye alikuwa anasifa uzi wake.. Msimu uliopita alikuwa anaringishia basi, Zaka Zakazi sijui atakuja na lipi tena.
Huwa nawasoma nabaki kukaa kimya ,ila siku mkianza jadili mpira km mpira ,mtaona matokeo yakeUmemaliza mkuu
Mara ya mwisho nyie kucheza fainali shirikisho ilikua mwaka gani?Nyie mwiko nyuma mnamcheka Azam wakati nyie wenyewe ndio wale wale miaka 25 sijui 24 hujawahi cheza champions league yaan kiwete anamcheka kipofu kisa yeye anaona kuna Mwiko nyuma Full utopolo halafu kuna huyu Azam ni utopolo no 2 hasara kwa taifa
kombe la loser mm chamipons league huwezi ona timu kubwa inaenda kombe la loser ukiona hivyo ujue ishakuwa mbovu ujue mwiko nyuma miaka 24 hawaijui caf chamipionMara ya mwisho nyie kucheza fainali shirikisho ilikua mwaka gani?
Ukijua hili, sisi tunajua lile. Kaa kwa kutulia mtani!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapa mlikua wapi wewe Kolo?kombe la loser mm chamipons league huwezi ona timu kubwa inaenda kombe la loser ukiona hivyo ujue ishakuwa mbovu ujue mwiko nyuma miaka 24 hawaijui caf chamipion
Huko alikotolewa Azam ss tumefika fainal subiri safari hii tuwanyamazishewapi nimesema Azam anashiriki champion league
Azam wanapita tena kwa ushindi mnono na mpira mkubwa
Mwiko nyuma unapuyanga mm naongelea CAF chamipon league miaka 25 hamjawahi fika makundi achana na kombe la loser tikisa ubongo wako utopolo basiHuko alikotolewa Azam ss tumefika fainal subiri safari hii tuwanyamazishe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tuanzie hapa Mara ya mwisho mwiko nyuma kucheza Caf champion league ni lini uone mlivyokuwa utopoloHapa mlikua wapi wewe Kolo?View attachment 2728959