FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

Azam fc wamejiunga kwenye team penalty hazina mwenyewe...
 
Nyie mwiko nyuma mnamcheka Azam wakati nyie wenyewe ndio wale wale miaka 25 sijui 24 hujawahi cheza champions league yaan kiwete anamcheka kipofu kisa yeye anaona kuna Mwiko nyuma Full utopolo halafu kuna huyu Azam ni utopolo no 2 hasara kwa taifa
Kwani Azam haya mashindano aliyotolewa leo ni champion legue acha kuchanganya mambo.hayo mashindano anayocheza Azam sisi tumefika fainali.ninyi haya mashindano si mliloga kule South uwanjani na bado mkafeli wazee wa robo.subirini safari hii champion tutafika nusu ambayo ninyi hamjawahi kufika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Azam haya mashindano aliyotolewa leo ni champion legue acha kuchanganya mambo.hayo mashindano anayocheza Azam sisi tumefika fainali.ninyi haya mashindano si mliloga kule South uwanjani na bado mkafeli wazee wa robo.subirini safari hii champion tutafika nusu ambayo ninyi hamjawahi kufika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
wapi nimesema Azam anashiriki champion league
 
Azam FC wana mambo kwelikweli, msimu huu wa mashindano badala ya kujenga timu yeye alikuwa anasifa uzi wake.. Msimu uliopita alikuwa anaringishia basi, Zaka Zakazi sijui atakuja na lipi tena.
Atakuja na jedwali la pasi walizopiga
 
Ninavyomfahamu huyu kocha wa azam, kule kwao, Senegal, ni fundi baiskeli. Huu ukocha aliusomea wapi, maana hata shule hajawahi kwenda?
 
Nyie mwiko nyuma mnamcheka Azam wakati nyie wenyewe ndio wale wale miaka 25 sijui 24 hujawahi cheza champions league yaan kiwete anamcheka kipofu kisa yeye anaona kuna Mwiko nyuma Full utopolo halafu kuna huyu Azam ni utopolo no 2 hasara kwa taifa
Mara ya mwisho nyie kucheza fainali shirikisho ilikua mwaka gani?

Ukijua hili, sisi tunajua lile. Kaa kwa kutulia mtani!

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Malengo ya Azam ni kuifunga Simba Sports Club's. Tu basi.
Hapo ndio wametimiza ndoto yao ya miaka mingi sana.
Naskia hapo Bakhresa anawapaga hadi zawadi na kwenda kusheherekea huko kwao.
Zanzibar.
Wivu haunaga faida.
 
Mara ya mwisho nyie kucheza fainali shirikisho ilikua mwaka gani?

Ukijua hili, sisi tunajua lile. Kaa kwa kutulia mtani!

[emoji28][emoji28][emoji28]
kombe la loser mm chamipons league huwezi ona timu kubwa inaenda kombe la loser ukiona hivyo ujue ishakuwa mbovu ujue mwiko nyuma miaka 24 hawaijui caf chamipion
 
kombe la loser mm chamipons league huwezi ona timu kubwa inaenda kombe la loser ukiona hivyo ujue ishakuwa mbovu ujue mwiko nyuma miaka 24 hawaijui caf chamipion
Hapa mlikua wapi wewe Kolo?
1448451683.jpg
 
Back
Top Bottom