Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yanga ipi hiyo,hii ya Gamondi?Yanga na nyie subirini zamu yenu kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga ipi hiyo,hii ya Gamondi?Yanga na nyie subirini zamu yenu kesho
Wakija kushtuka wataikuta Yanga fainali Club BingwaWatanzaniia huwa mnanifurahisha sana ktk chambuzi zenu, huwa mna ushabiki kuliko kuongelea soka halisi
Hii ni uongo kabisa.Haijawahi kutoka Mwarabu akamshinda Myahudi popote wskutanapo kwa lolote
Kwa vile wajibuti walikuwa wanasali? Hasa yule mama bonge, atakua wawata yule😜Yesu Kristo ndiyo njia ndugu zangu
Wewe iblis tulia hivyo hivyoNdio nani na njia ya kwenda wapi
Hiyo hiyo. Tayari huo uwanja una nuksiYanga ipi hiyo,hii ya Gamondi?
Umemaliza mkuuWatanzaniia huwa mnanifurahisha sana ktk chambuzi zenu, huwa mna ushabiki kuliko kuongelea soka halisi
Una nuksi kwake yeye,sisi tunatwanga tuuHiyo hiyo. Tayari huo uwanja una nuksi
Nitakutafuta kesho mida kama hiiUna nuksi kwake yeye,sisi tunatwanga tuu
Wee niambie siwezi kuangaika na vitabu vya karne ya kwanza wakati Leo nipo karne ya 21 huo ni ufinyu wa akili www niambie hiyo njiaYohana 14:6
Azam ni utopolo no 2 hamna kitu kuna timu miaka 25 haijawahi cheza makundi ya CAF CHAMPIONSHIPS LEAGEUWewe iblis tulia hivyo hivyo
Duh kweli akili zako pungufu,yaani unaamini kabisa kesho Yanga anatolewa?Nitakutafuta kesho mida kama hii
Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu". Una swali lingine shetani?Wee niambie siwezi kuangaika na vitabu vya karne ya kwanza wakati Leo nipo karne ya 21 huo ni ufinyu wa akili www niambie hiyo njia
Ukishaanza kuongea mambo ya akili utanipotezaDuh kweli akili zako pungufu,yaani unaamini kabisa kesho Yanga anatolewa?
Sina naomba uwaombee Utopolo mwiko nyuma waingie makundi ya CAF Champion league kwa Yesu awasaidie miaka 24 sio mchezo awatoe mapepoYesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu". Una swali lingine shetani?