FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

Kila la heri kwa Wananchi Yanga. 💛💚💪Ingawa natambua fika mechi ya leo haitakuwa nyepesi hata kidogo kwa pande zote mbili!
 
Kabla ya game..
Inaonekana kama mechi ipo 50/50.....

Wakati wa mechi
Hapa ndipo mambo yatakaponza kua magumu mbona kipa kafungwa Goli rahisi... Oh mara refa anawapendelea, kwanini mabeki wahamkabi na huyu jamaa hamna kitu yaani anakosa magoli Tu Bora anangekuepo mtoto wa mtemi [emoji23]

Baada ya game kila goti litapigwa dah ila jamaa wako vizuri buana [emoji2957]
 
All the best My Team Young Africans.
Boli litatembea leo an Azam atapigwa zinazomtosha.
 
[emoji617][emoji617]MATCH DAY[emoji617][emoji617]

[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Azam FC[emoji739]Young Africans SC
[emoji414] 17.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa Stadium.
[emoji797] 02:30 Usiku
View attachment 2936746
Leo Leo ndio leo kivumbi na jasho...

Azam wanaumana na Yanga leo 17.03.2024 muda ni kuanzia saa 2:30usiku.

Historia inaonyesha Yanga ameibuka mshindi mara nyingi zaidi timu hizi zinapokutana.



Daima mbele, nyuma mwiko!!
Nilipenda kuwatakia heri zote AzamFc ila kila nikiwafikiria walivyo laini naghairi
 
Back
Top Bottom