Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Utasikia beki za Azam zinakabia macho.Kabla ya game..
Inaonekana kama mechi ipo 50/50.....
Wakati wa mechi
Hapa ndipo mambo yatakaponza kua magumu mbona kipa kafungwa Goli rahisi... Oh mara refa anawapendelea, kwanini mabeki wahamkabi na huyu jamaa hamna kitu yaani anakosa magoli Tu Bora anangekuepo mtoto wa mtemi [emoji23]
Baada ya game kila goti litapigwa dah ila jamaa wako vizuri buana [emoji2957]