The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Tunashinda hiiMfungwe tu
Ukweli mchungu, siioni timu ya kuifunga Yanga kwenye ligi yetu!All the Best Yanga
Nilipenda kuwatakia heri zote AzamFc ila kila nikiwafikiria walivyo laini naghairi[emoji617][emoji617]MATCH DAY[emoji617][emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Azam FC[emoji739]Young Africans SC
[emoji414] 17.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa Stadium.
[emoji797] 02:30 Usiku
View attachment 2936746
Leo Leo ndio leo kivumbi na jasho...
Azam wanaumana na Yanga leo 17.03.2024 muda ni kuanzia saa 2:30usiku.
Historia inaonyesha Yanga ameibuka mshindi mara nyingi zaidi timu hizi zinapokutana.
Daima mbele, nyuma mwiko!!
😁😂Nilipenda kuwatakia heri zote AzamFc ila kila nikiwafikiria walivyo laini naghairi