Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nani kafunga?Mistake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kafunga?Mistake
Naipongeza azam kwa kusawazisha🤣🤣Unadhani ni wao tu? Sio kupenda kwao ni ubora wa timu ya wananchi 💚💛💚💛
Daah hizi Dua nyingine..🙌🙌Kila jambo baya liwakute Yanga kwenye mchezo huo[emoji120]
Mudathiri ni mchezaji mzuriSijawahi kumuelewa mudathir,kosa kubwa tulilifanya kutosajili kiungo
Wewe dogo tangaza mpira achana na mimi 😀😀😀
Azam mfungaji nani?
Kaka anapoteza mipira kirahisi,yupo slow kuamua,hawezi kua kiungoMudathiri ni mchezaji mzuri
Makosa kila mtu anayo
wamechokoza nyukiNaipongeza azam kwa kusawazisha🤣🤣
sylaAzam mfungaji nani?
Kibabage huyo ila kwa eneo lile kuzuia ni lazima.yule mchezaj wa yang alikua na sababu gani za kuzuia mpira uliokua unapita
Ni Bad day at workKaka anapoteza mipira kirahisi,yupo slow kuamua,hawezi kua kiungo
Wewe dogo tangaza mpira achana na mimi 😀😀😀