Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Hata kama, lazima kuna key players wawili watatu huwa hawatakiwi kukosekana mechi muhimuSi mna kikosi kipana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama, lazima kuna key players wawili watatu huwa hawatakiwi kukosekana mechi muhimuSi mna kikosi kipana?
Kutoboa kwa mamelod ni ndotoHivi hawa ndo first eleven Yenyewe kasoro Aucho....ndo Wanaenda kuwakabili Mamelod.?
Watakuwa wamelipwa nini,hapa bado haja ingia Banyana,yule jamaa basi marefa wanamuachiaga ila kiukweli mechi nyingi za Yanga anatakiwa kumaliza na kadi nyekundu.Wanawasafishia njia masandawana
Azam wamerudi nyuma
Mnatuchanganya tunaofuatilia humuYanga wamerudi nyuma
Mnatuchanganya tunaofuatilia humu
umu watu wanajitungia tuMnatuchanganya tunaofuatilia humu
Hahaaaaa jamaa TV zao ni yale machogo ya zamani ndio maana wanakuchanganya. Hakuna timu iliyorudi nyuma mkuu.Mnatuchanganya tunaofuatilia humu
Jitu nimeanzisha Uzi afu haliweki updates[emoji617][emoji617]MATCH DAY[emoji617][emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Azam FC[emoji739]Young Africans SC
[emoji414] 17.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa Stadium.
[emoji797] 02:30 Usiku
View attachment 2937034
View attachment 2937033
Leo Leo ndio leo kivumbi na jasho...
Azam wanaumana na Yanga leo 17.03.2024 muda ni kuanzia saa 2:30usiku.
Historia inaonyesha Yanga ameibuka mshindi mara nyingi zaidi timu hizi zinapokutana.
KIKOSI CHA AZAM FC
View attachment 2937488
KIKOSI CHA YANGA SC
View attachment 2937490
9' Mzizeeee
anaipatia Yanga goal la kuongoza!
0-1
18' Sillah
Goooooooooooal
anaipatia Azam goal la kusawazisha.
1-1
Daima mbele, nyuma mwiko!!
Mkuu acha kunionea mimi nipo Makoroboi hapa naelekea IgomaHawa Azam wanakamia na kupiga makwanja kama hawajui wenzao wana CAFCL?
Alafu kuna shabiki bonge la Simba linashangilia kuumia na kuvunjwa kwa PACOME. Yule nahisi ndio OKW BOBAN SUNZU maana sio lwa Kushangilia na kuwa na Roho mbaya vile.
ngoja tuoneMzize akitulia leo anaweza kupiga hata mawili mengine na Aziz anamwekea nyingi tu.