FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

Azam wameingia na style ya kupoozesha mpira na kushambulia kwa kasi na kushtukiza.
 
Azam wacheze Kwa upendo,haiwezekani makwanja kama Yale wanawapiga wenzao as if hawajui kua tuna Mamelod mbele yetu,au wamelipwa?
Maana bilashaka wawakilishi wa Mamelod wamo uwanjani kuangalia Yanga wanafanyaje.Siyo poa.
 
Azam wacheze Kwa upendo,haiwezekani makwanja kama Yale wanawapiga wenzao as if hawajui kua tuna Mamelod mbele yetu,au wamelipwa?
Maana bilashaka wawakilishi wa Mamelod wamo uwanjani kuangalia Yanga wanafanyaje.Siyo poa.
Nilijua tu pacome ataumizwa,hakutakiwa kucheza Leo,jeraha lile mamelod hachezi
 
Back
Top Bottom