Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ukisema hivi, simba wanakushangaa!!Azam bado sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema hivi, simba wanakushangaa!!Azam bado sana....
Wanao sana tu. Wanachozidiwa ni kwasababu ndani ya Azam kuna Yanga wengi kuliko Azam (kama ilivyo Simba pia).Azam wanawakamiaga Yanga ila mpira wakumsumbua Yanga hana.
Hawezi jibu hii.Kwa hiyo hata nyinyi mlipofungwa na hao Azam pia mlipenda!!!
Nemekukumbuka siku messi anabeba ndoo ulikaribia kufa😁😁, anyway tujikite kwenye NBCMashabiki wa Messi mnanongwa sana
Anyway ebu tujikite kwenye NBC
PyeeepyeeeAzam wameshindwaje kumfunga huyo Utopwinyo??
Atakuwa tayari ameshakula unga huyo. Siyo bure.Unaangalia mechi gani?
Huyu Kipa ndio Zaka alituambia anadaka hata akiwa kafunikwa gunia usoni?
Kwa kuzidiwa mbinu,Azam wameshindwaje kumfunga huyo Utopwinyo??
Mmiliki tu shabiki wa Simba mechi za Yanga linatengwa fungu ili Yanga wafungwe na ndio maana wanakamia sana ila mpira wakumfunga Yanga msimu huu hawana.Wanao sana tu. Wanachozidiwa ni kwasababu ndani ya Azam kuna Yanga wengi kuliko Azam (kama ilivyo Simba pia).
Wewe unaweza?Azam wameshindwaje kumfunga huyo Utopwinyo??
Kajifungia geto giza kubwa anafuatilia mechi livescore kwa wasiwasi sanaNitafutieni alipo Kalpana
Azam wachumba tu.Azam wanawakamiaga Yanga ila mpira wakumsumbua Yanga hana.
Hana namba huwa tunalazimisha tuAtacheza number ya nani?
Goli la kizembe kabisaNemekukumbuka siku messi anabeba ndoo ulikaribia kufa😁😁, anyway tujikite kwenye NBC
ukiachana na ihefu kumuangukia nani mwingine kamfunga miaka hii 2 kwenye ligiAzam wameshindwaje kumfunga huyo Utopwinyo??
Wewe uliweza?Azam wameshindwaje kumfunga huyo Utopwinyo??