Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Yupo kwenye radar za yusuph bakhresaStephane Aziz Ki
Save That Name. [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo kwenye radar za yusuph bakhresaStephane Aziz Ki
Save That Name. [emoji41]
Naona mmekuwa wasemaji wa Azam sasa Mtani.Yupo kwenye radar za yusuph bakhresa
Ili mshuke mpaka nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi siyo!! Pole sana.Nasimama na Azam
Yanga ni timu ambayo haimtegemei mchezaji mmoja kama simba. Awepo, asiwepo; timu itaendelea tu kufanya vizuri.Yanga wakishinda Leo kelele za feisal zitapungua Kwa mashabiki.. ila wakishindwa itawabid watoe pesa maradufu kumbakiza feisal kwan presha itakuwa juu sana
Ni kweli haitegemei mchezaji mmoja🤣🤣🤣,ila inahangaishwa na mchezaji mmoja...Yanga ni timu ambayo haimtegemei mchezaji mmoja kama simba. Awepo, asiwepo; timu itaendelea tu kufanya vizuri.
Angalia alichokifanya Morisson hapa
Yani kaamua kumpiga kiwiko mchezqji ambaye hata hayupo kwenye umiliki wa mpira na kusababisha foul isiyokuwa na msingi
na wakiipata ni goliYanga licha ya on target hata offtarge nayo hawana