Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Alimkanda nani? Wakati wenyewe ndo unga?? Ss ni bora kuzidi waolazima uuone bora si alikukanda
azam nae ukimuuliza atakwambia mpira wa yanga ni bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimkanda nani? Wakati wenyewe ndo unga?? Ss ni bora kuzidi waolazima uuone bora si alikukanda
azam nae ukimuuliza atakwambia mpira wa yanga ni bora
Hujaanguka tu mpaka sasa hivi?Nasimama na Azam
Kale mihogo Uto kisha ulaleHabari yako Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Mikia/Kolowizards/Ngada FC?
umesahau alikukanda 1-0Alimkanda nani? Wakati wenyewe ndo unga?? Ss ni bora kuzidi wao
Hayajui MISS PENATI kafunga goli 5 zote za penati kati ya goli 6 alizoshinda ilihali King Mbappe amefunga goli 5 zote zisizo penati kati ya goli 7 alizoshinda?Mashabiki wa Messi mnanongwa sana
Anyway ebu tujikite kwenye NBC
Si wameziwahi wao, wanasafiria nyota ya IHEFU.Leo hatuna jezi nyeusi, andaeni malalamiko mengine
.mwenzako anaujua mziki wa yanga ndo anapoza mpira wewe wasema anajifunga
afunguke apigwe
Hahaaa jibu umelipata sasaKila mtu ashinde mechi zake.
Tunataka kujua leo ikiwa ni kweli...
1. Jezi nyeusi ina jambo
2. Kweli kuna bahasha za khaki
Azam wasiposhinda hii mechi ya leo hayo yote hapo juu ni ubatili.
Aibu naona mimi, huyu Makolokolo asamehewe tu bure [emoji849][emoji87][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uto wamelalalaaaaaa
[emoji1787]Kwa hiyo hata nyinyi mlipofungwa na hao Azam pia mlipenda!!!
Kolo amka usingizini.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uto wamelalalaaaaaa
Wewe na shemeji zako wote ngada fc tu au we unasemaje?Ee ni wao na wana mapua kama wanasafoketi kwenye maji aka vyura
[emoji4]sio kwa yanga pale hata wakae na manura kwa mashuti ya mbukinabe wanatoa kapa
Lala nayo tu.Nasimama na Azam
Unadhani kila timu inafungwa na Azam kama wewe?Uto leo mnabatuliwa na wauza ukwaju
Hao ni utopolo original a.k.a vyura hawakua na amani hata kdg ila kwa sasa huwambii kituWewe na shemeji zako wote ngada fc tu au we unasemaje?
Just joking
We mwenyewe Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Kolowizards/Ngada FC hujawahi kumfunga Yanga FC katika NBC PL tangu 2019, utegemee mtelezo tu kwa Jirani yako?Azam wameshindwaje kumfunga huyo Utopwinyo??
fatilia uzi tangu dk ya 1 tupo hadi marudio tunasubiri saa 6 na kesho tuone kama azam anaweza chomoa goliHao ni utopolo original a.k.a vyura hawakua na amani hata kdg ila kwa sasa huwambii kitu
Daaah [emoji2]kakae golini ndo utajua hilo shuti likipimwa ni kilo 100 yaani sawa na utupiwe mifuko 2 ya simenti unadaka vp