Wee utakuwa mshabiki maandaziNa imani kabisa kale katoto kutoka Zanzibar ni kashirikina kalikuwa kanaharibu nyota ya Aziz. Kamevunja tu mkataba na matunguli ya kenyewe kwa mtoto wa watu yameondoka. Mungu fundi kwelikweli nyie
Wananchi tunambariki aendelee kuvaa bukta hivyo hivyo ili awe comfortable kupiga mashuti makali mpaka makipa wanayatemaIla Mwambieni
Azizi Ki
Avae Bukta vizuri.
Sisi wengine hatupendi namna anavyo onesha mipaja yake.
Cc @TFF,
Pynguza makasiriko manura alipigwa eneo lile lile tena bora huyu hata mpira kafata manula aliukwepaHuyu golikipa ni pazia ukimpigia mipira ya mbali.
Ila kocha ikiwezekana aongeze viungo wachezeshaji, ili kuyalinda haya matokeo.
Nina uhakika wewe PIMBI hujawahi kucheza mpira. Yaan mpira ule unamlaumu KIPA? Rudi kaangalie game ya BRAZIL VS GERMAN 2002 WORLD CUP FINAL, RIVALDO ALIACHIA MUWA WA MAANA UKADUNDA NA OLIVER KHAN AKAKOSA TIMING KAMA HIVI LEO KISHA RONALDO LUIS NAZARIO akaweka kambani.Huwezi kushindwa Kudaka Mpira ambao tayari umepoa kwa kudunda Chini. Tena Unamtemea mpinzani Pale Hata Veterani Anafunga
Poor Azam, Wanafanya Makosa Ya Kijinga Sanaaa
HapanaWananchi tunambariki aendelee kuvaa bukta hivyo hivyo ili awe comfortable kupiga mashuti makali mpaka makipa wanayatema
Biashara ya wachezaji ipo kote duniani, ila inategemea umeondoka vp? Feisal katumia shinikizo kulazimisha uongozi kuvunja mkataba ili mradi tu ajiunge na azam. Wakati anajua kabisa ana mkataba tena wa miaka miwili. Kama angetumia busara kuvunja akawaita wanaomtaka wakakaa mezani na uongozi wa YANGA wakamalizana sisi mashabiki hatuna shida. Sasa anataka klabu ya Yanga iambulie mil. 112 badala ya kufanya biashara ya wachezaji.Fei kajichafua mwenyewe hajaondoka kistaarabu... kamwaga ugali mashabiki wanamwaga mboga...[emoji28]
hata huko ulaya c kila anaeondoka anaheshimiwa inategemeana na alivondoka kumbuka luis figo alitupiwa kichwa cha nguruwe kwa kuhama barca na kujiunga na real...
unategemea mashabiki wa arsenal watakuja kumpenda tena Fabrigas au Nasry vipi kuhusu Roben van parsie?? wote hao wanaonekana ni maYuda yaani wasaliti....
ni kama michael owen pale liverpool anaonekana takataka tu kama ilivyo kwa philipe countinho bila kujali waliifanyia club makubwa kiasi gani.... walau luis suarez anaweza kusamehewa...
Fei angeondoka kwa adabu hakuna ambaye angelaumu
Amka sasa mchumba uanze kuupitia mkataba wa feisalHongerenii mlale sasa
Umenisaidia kumjibu ningejibu mimi ningetumia umandazi kwelikweli kama alivyoniita!Fei kajichafua mwenyewe hajaondoka kistaarabu... kamwaga ugali mashabiki wanamwaga mboga...[emoji28]
hata huko ulaya c kila anaeondoka anaheshimiwa inategemeana na alivondoka kumbuka luis figo alitupiwa kichwa cha nguruwe kwa kuhama barca na kujiunga na real...
unategemea mashabiki wa arsenal watakuja kumpenda tena Fabrigas au Nasry vipi kuhusu Roben van parsie?? wote hao wanaonekana ni maYuda yaani wasaliti....
ni kama michael owen pale liverpool anaonekana takataka tu kama ilivyo kwa philipe countinho bila kujali waliifanyia club makubwa kiasi gani.... walau luis suarez anaweza kusamehewa...
Fei angeondoka kwa adabu hakuna ambaye angelaumu
Hii sheria unaijua wewe peke yako?Hapana
Sheria ya mpira wa miguu hairuhusu mchezaji kukunja jezi yake.
Marefa wanashundwa kuzingatia hii kanuni kwa Azizi KI.
Hapana tunapendw kufungwa na ihefu tuUnadhani kila timu inafungwa na Azam kama wewe?
Iko kiparagraph cha kwanza kitakurudisha nyuma Mtani.Kwa matokeo haya, je tuendelee kuamini jezi nyeusi na bahasha ndio vinaipa ushindi Yanga?
Juhudi za wachezaji uwanjani ni kubwa, eti Shadeeya mtani