zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
eti dogo nae alitaka kushiriki kutuharibu kisaikolojia jinga sana now katakuwa kamejifichaHaya muendelee sasa na story za Feisal. 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti dogo nae alitaka kushiriki kutuharibu kisaikolojia jinga sana now katakuwa kamejifichaHaya muendelee sasa na story za Feisal. 🤣🤣🤣
Nimecheka Watu8 itabidi waje. Bado wanapambana na deal la Feisal dahWapo kwenye uzi wa Feitoto 😄
Ongeza sautiii...😂😂Nauliza wasemaji wa Azam mna lolote? 🤣 🤣
Hapa ndo ujue waliosema dunia haiishi vituko hawakukosea Mkuu. 😀😀😀Hii ndio timu Feisal analilia kwenda?[emoji23][emoji23]
Watajifanya wamelala eti. Hahahaaa.
😂😂😂😂😂😂
Hakuna binadam anaeishi kwa wasiwasi kwa kipindi hiki kama shabiki wa ngada fcNauliza wasemaji wa Azam mna lolote? 🤣 🤣
Si walisema Yusuph Bakhressa ana hela ya kufanya chochote!! Alishindwa vipi kuinunua hii mechi?Nauliza wasemaji wa Azam mna lolote? 🤣 🤣
eti dogo nae alitaka kushiriki kutuharibu kisaikolojia jinga sana now katakuwa kamejificha
Hahahaaa. Lol.Makolo Kimyaaaaaaaaa!! Jana walikuwa na Azam na Fei wao.
Atajiju..😂😂😂Hii ndio timu Feisal analilia kwenda?[emoji23][emoji23]
Hivi Simba mna nini lakini...😂😂😂😂azam hii mechi walikuwa wanaitangaza kwenye mitandao kwa mbwembwe nkajua hata wata draw kumbe mafi matupu
Akana hamu saa hii.eti dogo nae alitaka kushiriki kutuharibu kisaikolojia jinga sana now katakuwa kamejificha