FT: Azam Federation Cup: Simba 4-0 African Sports : 02/03/2023

FT: Azam Federation Cup: Simba 4-0 African Sports : 02/03/2023

Dogo washamchezea faulo
 
Huyu aliye saini juzi mkataba mpya wa kutengeneza jezi za msimu wa 23/24.

Nyie wenzetu mafundi wenu wapo China, dalali Vunjabei.
Siku ya mwananchi mlivaa suti kwenye utambulisho

Zile suti zilishonewa pale Tandika kwa wahaya

Yule fundi nguo alikopwa, anadai pesa yake

Muwe na huruma
 
Haya mabadiliko ya akina Chama ni kupasha misuli moto TU.
 
90' Jimmy Goooooooooooooaaal gooal

Jimmy anapiga bao la Nne akipokea Krosi murua kutoka kwa Banda

Simba SC 4-0 African Sports
 
Yanga Wamembemenda Mtoto Wa Watu Feisali
Hata jambazi lilioua makumi ya watu likienda jela linapewa ugali na maharage safi tena yasiokuwa na dumuzi.

Na lina haki ya kusema ugali mdogo pale litakapopunjwa, lina haki ya kulalamikia mpishi endapo kwenye maharage hakutakuwa na mchuzi mzito

Lakini Mchezaji ambaye ameipa faida timu na kuifikisha mbali alifanyiwa umafia wa kinyama kwa kupewa ugali na sukari

Ukiwa jambazi sugu ukapelekwa chumba cha mateso ili utaje waliokutuma, utakuta kuna pasi ya umeme disipisi, prise ile ya kubana pmbu

Lakini hauwezi kukuta ugali na sukari

Unajua kwanini?

Ugali na sukari una muunganiko wenye mateso makubwa sana ambapo watetezi wa haki za binadamu hawawezi kuruhusu mtu afanyiwe unyama huo.

Yani bora upigwe shoti za umeme lakini sio utumie silaha ya ugali na sukari kutesea watu
 
Back
Top Bottom